Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Jaribuni huo mgagani muone kama uke haujawa na matundu kama ya neti
 
Nakushauri ufungue clinic yako na utoe tiba hii kwa wateja wako,maana ndio unayejua kwa kina namna ya kuandaa,kuchanganya na kuweka dawa kwenye papuchi.
Naamini biashara yako itakuwa nzuri sana kwani wapo wengi wenye over size a.k.a ramboo!

Ni ushauri tu.


Habari zenu wakuu leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana

Njia ya kwanza

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia ktk uke wako

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufuragia


Njia ya pili: chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa

Asanteni
 
Habari zenu wakuu leo mezani nawaletea akina dada njia kuu mbili za kufanya uke wako kua mdogo na wakubana

Njia ya kwanza

Chukua vitunguu swaumu menya yale maganda yake ndo dawa tosha, kisha chukua moto na moto vua nguo zako za chini kua kama unafukiza uke wako hakikisha moshi ule unaingia moja kwa moja katika uke baada ya hapo chukua ndimu mbili kamlia ktk uke wako

Nakuhakikishia uke wako utakua mdogo wenye kubana na mmeo au mpenzio ataufuragia


Njia ya pili: chukua mgagani utwange hadi ulainike kisha andaa kitambaa cheupe cotton weka ule mgagani ukifatiwa na kijiko cha asali kisha weka kile kitambaa kama muundo wa pedi ndani ya dakika 25 fanya hivyo kwa siku saba

Pia mgagani unaeza kutumika pia kubana sehemu ya haja kubwa kwa wale waliowahi kufanya mapenzi kinyume cha maumbile twanga mgagani kisha weka sehemu ya haja kubwa

Asanteni

Mgagani ndio nini
 
Kansa wanaitafuta!
kubwa imekuaj hadi ikawa kubwa hivyo?
Jamani kwani duniani si kuna warefu na wafupi,wembamba na wanene,weupe na weusi hali kadhalika kubwa na ndogo!
Au shosti wewe hulijui hili?
 
unatia kichefu chefu kwa mada uliyo andika na jinsi unavyoandika,hivi umesoma mpaka darasa la ngapi?ebu soma tena ulichokiandika kama kina leta maana.
 
Jamani kwani duniani si kuna warefu na wafupi,wembamba na wanene,weupe na weusi hali kadhalika kubwa na ndogo!
Au shosti wewe hulijui hili?

Najua ndo maana nasema hakuna haja ya mgagani wala ndimu ukeni!!
Mungu aliumba kila dizaini kwa makusudio yake kubwa kwako ndogo au size kwa mwenzako hakuna haja ya kujitafutia magonjwa na kumkufuru aliyekuumba.
 
Back
Top Bottom