Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Njia za asili za kufanya uke kuwa mdogo

Na bado wanaachika au kua cheated on..... shughuli

ndo hapo wajue kuwa: The major similarity between men and rats is that they always search new holes. Mtusamehe tu kwakweli, tunapenda kuingia mashimo mapya. teh teh teh
 
Mzizi mkavu njoo nipe dawa, ya ukweli ukweli nimejifungua mwanangu ana mwaka 1.6, Nina wasiwasi kidogo km nipo vzr ndoa hii haina miaka mingi.. Jamani ushauri wa kwanza ntaufanyia kazi wa Pili naogopa.
 
Hivi maji ya moto ni mazuri kurudisha uke kwenye saizi yake ya awali baada ya kujifungua?? Na km kweli vipi wale wanaochanika na hivyo maji ya moto kushindwa/ kutoruhusiwa kufika humo??
 
jamani mengine ni kujitafutia matatizo wakina mama,tujiulize.kwa nini.zitanuke?ni mfumo wa maisha tunaoishi na pia yategemea maimbile mungu alivyokuumba hivyo basi lifestyle ya siku si kama mama zetu ambao walikuwa wanafanya kazi za nyumbani kama kubeba ndoo,kulima to mention few lazima misuli ya uke itabana tu lakini si sasa kila kitu tunafanyiwa na kutembea hatutembei karibia siku 366 zote tupo kwenye kwanini zisitanuke na pia inategemea na mungu alivyokuumba.Take care ladies
 
magari yanatulemeza hakuna kutembea wala kubeba ndoo hata kupalilia bustani kwanini zisitanuke?kingine ni ubunifi wako katika sita.kwa sita mengine sijui mgagano no kujitafutia shida mapenzo si uke kubana ni zaidi ya hiyo
 
vipi yakuongeza kidogo maana wakwangu unabana mno hadi inanikosesha raha sometimes
 
Mzizi mkavu njoo nipe dawa, ya ukweli ukweli nimejifungua mwanangu ana mwaka 1.6, Nina wasiwasi kidogo km nipo vzr ndoa hii haina miaka mingi.. Jamani ushauri wa kwanza ntaufanyia kazi wa Pili naogopa.

Wewe chuma janga utakula na wakwenu wakati mtoa mada yupo anakura raha zake!!
 
Back
Top Bottom