Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Kumbuka huyu anahitaji kujua njia ya asili best...condom ni njia ya kisasa atii...

Tumia condom kwa siku za hatari lakini ziongeze kuwa kati ya 9 hadi 16 kwa usalama zaidi. Ungeenda kwa vitengo cha wazazi hospitali yoyote ungepata ushauri. Kuna uzi humu utafute wa kuhusu madhara ya njia za kuzuia uzazi. Alianzisha gfsonwin kama sio Kaunga
 
Last edited by a moderator:
Heheh thoreee, madhara ya kutumia condom toka niko std 3! (kupuliza sio kwa mambo mabaya).

Hivi majani ya mtura yakichemshwa afu akaogea haizuwii? Ngoja MziziMkavu amalize kuswali taraweeh aje.
Kumbuka huyu anahitaji kujua njia ya asili best...condom ni njia ya kisasa atii...
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu hii njia kuhesabu tarehe naiogopa kama ugonjwa,nilikuwa mtaalamu sana lakini at the end ikaniumbua. Labda kama nitapata njia waliyotumia bibi zetu zamani
Bibie Meljons Ninakufundisha Dawa

za mababu wetu walizokuwa wanatumia na kufanya tendo la ndoa pasipo kushika mimba tumia njia hii Mbadala fanya hivi.

Nunuwa Shabu kidogo japo punje moja weka sehemu zako za siri kwenye utupu wako kila unapotaka kukutana na mume

wako kisha fanya mapenzi nae hutoshika mimba kamwe. Jaribu kisha uje unipe feedback. Na njia ingine hii ukitaka usishike

Mimba Mtafute Mdudu Mmoja anaye itwa kwa jina Popo ukisha mpata mchinje upate kichwa chake uwe unaweka kichwa chake kwenye chini ya mto wako wakulalia

hautapata mimba muda wa hicho kichwa cha popo kipo chini ya mto wako wa kulalia jaribu kutumia moja ya hizo dawa

kisha uje hapa unipe feedback.
 
Last edited by a moderator:
Tumia condom kwa siku za hatari lakini ziongeze kuwa kati ya 9 hadi 16 kwa usalama zaidi. Ungeenda kwa vitengo cha wazazi hospitali yoyote ungepata ushauri. Kuna uzi humu utafute wa kuhusu madhara ya njia za kuzuia uzazi. Alianzisha gfsonwin kama sio Kaunga

Yaani ujana wangu woote kabla sijaoa navumilia hii mipira, halafu itokee nimeoa bado tu niendelee na hii adhabu ya mipira. NO!! SAMAHANI. Nikija kuoa sitaki habari ya kula pipi ikiwa ndani ya nailon
 
Last edited by a moderator:
BAK njoo ujifunze hapa best. Ntaanza kuuza popo soon.
Bibie Meljons Ninakufundisha Dawa

za mababu wetu walizokuwa wanatumia na kufanya tendo la ndoa pasipo kushika mimba tumia njia hii Mbadala fanya hivi.

Nunuwa Shabu kidogo japo punje moja weka sehemu zako za siri kwenye utupu wako kila unapotaka kukutana na mume

wako kisha fanya mapenzi nae hutoshika mimba kamwe. Jaribu kisha uje unipe feedback. Na njia ingine hii ukitaka usishike

Mimba Mtafute Mdudu Mmoja anaye itwa kwa jina Popo ukisha mpata mchinje upate kichwa chake uwe unaweka kichwa chake kwenye chini ya mto wako wakulalia

hautapata mimba muda wa hicho kichwa cha popo kipo chini ya mto wako wa kulalia jaribu kutumia moja ya hizo dawa

kisha uje hapa unipe feedback.
 
Last edited by a moderator:
Mara tatu kwa mwezi ukila pipi na ganda lake mbona inakuwa tamu na tofauti? Hebu waza bila boski kabisa bwana!
Yaani ujana wangu woote kabla sijaoa navumilia hii mipira, halafu itokee nimeoa bado tu niendelee na hii adhabu ya mipira. NO!! SAMAHANI. Nikija kuoa sitaki habari ya kula pipi ikiwa ndani ya nailon
 
MziziMkavu hii njia kuhesabu tarehe naiogopa kama ugonjwa,nilikuwa mtaalamu sana lakini at the end ikaniumbua. Labda kama nitapata njia waliyotumia bibi zetu zamani

Kwa hiyo ulizaa au uliflash?
 
Kalenda inachanganya sn kwa Mfano...Mwanamke anatumika cku 7 kwa kila mwezi anatakiwa akae cku ngap?Na cku hizo anazokaa ni baada ya kutumika tu au.???
 
Uliza swali lako kwa ufasaha...

Kalenda inachanganya sn kwa Mfano...Mwanamke anatumika cku 7 kwa kila mwezi anatakiwa akae cku ngap?Na cku hizo anazokaa ni baada ya kutumika tu au.???
 
Bibie Meljons Ninakufundisha Dawa

za mababu wetu walizokuwa wanatumia na kufanya tendo la ndoa pasipo kushika mimba tumia njia hii Mbadala fanya hivi.

Nunuwa Shabu kidogo japo punje moja weka sehemu zako za siri kwenye utupu wako kila unapotaka kukutana na mume

wako kisha fanya mapenzi nae hutoshika mimba kamwe. Jaribu kisha uje unipe feedback. Na njia ingine hii ukitaka usishike

Mimba Mtafute Mdudu Mmoja anaye itwa kwa jina Popo ukisha mpata mchinje upate kichwa chake uwe unaweka kichwa chake kwenye chini ya mto wako wakulalia

hautapata mimba muda wa hicho kichwa cha popo kipo chini ya mto wako wa kulalia jaribu kutumia moja ya hizo dawa

kisha uje hapa unipe feedback.

Mkuu mzizimkavu ujue huwa nakuaminia sana post zako!!!!!sasa popo tena.....daaaaaahhh!!!!
 
Last edited by a moderator:
Ungeniambia hicho kichwa cha popo kinatumika kumtisha m mimbishaji halafu wazungu wanakosa nguvu ningekuelewa kidooogo
 
Ungeniambia hicho kichwa cha popo kinatumika kumtisha m mimbishaji halafu wazungu wanakosa nguvu ningekuelewa kidooogo
Mkuu Kiteitei Mke wako au Mpenzi wako wa kike hicho kichwa cha huyo Popo akikiweka chini ya mto wake wa kulalia Wazungu wako hawawezi tena kumtia mimba mpenzi wako au mke wako wanaishiwa nguvu kabisaa.
 
Mkuu Kiteitei Mke wako au Mpenzi wako wa kike hicho kichwa cha huyo Popo akikiweka chini ya mto wake wa kulalia Wazungu wako hawawezi tena kumtia mimba mpenzi wako au mke wako wanaishiwa nguvu kabisaa.
Kiongozi hebu piga hii picha......uko katikati ya purukushani za kuburidishana miili....mastaili na mbwembwe kibao... geuza huku geuza kulee..miguu juu ya neti..hamadi unakutana na bichwa la popo kwenye mto!!!!hicho kimimbio kitakuwa na nguvu tena kweli!!!
 
Kiongozi hebu piga hii picha......uko katikati ya purukushani za kuburidishana miili....mastaili na mbwembwe kibao... geuza huku geuza kulee..miguu juu ya neti..hamadi unakutana na bichwa la popo kwenye mto!!!!hicho kimimbio kitakuwa na nguvu tena kweli!!!
Mkuu.@Kiteite :smile-big::smile-big::smile-big: ikiwa ni mke wako
itakuwa ni Majangaa Heavy kama ndio mpenzi wako itabidi ajieleze ukweli wa mambo kasheshe kweli hapo utajibeba mwenyewe Majangaaa hayooooooooooooo
 
Tumia condom kwa siku za hatari lakini ziongeze kuwa kati ya 9 hadi 16 kwa usalama zaidi. Ungeenda kwa vitengo cha wazazi hospitali yoyote ungepata ushauri. Kuna uzi humu utafute wa kuhusu madhara ya njia za kuzuia uzazi. Alianzisha gfsonwin kama sio Kaunga

labda gfsonwin sikumbuki kuanzisha uzi huo, ila nakumbuka kuchangia..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom