Hey dude respect yourself whether you stay in Songea or Dodoma she doesn't give a f.u.c.k usilazimishe kujibiwa ulichoandika kwenye pm na usilazimishe urafiki sasa umevuka mipaka
We tuma tuma tu utajibiwa na mwenye mii haya shida niniiii
achomoe
We tuma tuma tu utajibiwa na mwenye mii haya shida niniiii
Kichwa changu kizito kama treni ya kigm,, hebu mnifundishe jamani hayao majivu nitumue vp
Mhhh nimekuja spidi mana ndom sizipendii...em ngoja waje wenye eksipiriensi
Uzi unajieleza. Soma tena
Nimeona dawa nyng na hayo majivu hata sijui nianze na ipi??
U have my word kesho ntakuletea majibu ya kisayansi km utakavyo. Kwa sasa nalala.
hints to follow:
1. Mazingira ya kutungwa / kutotungwa mimba.
2. Muundo wa majivu kikemia
3. Athari ya majivu mwilini (uhusiano na kutungwa mimba)
4. Waweza fatilia pia ili uwe na hoja zenye mjazo na sio kubisha ili usifiwe.
Hapo kwenye blue ndipo umeonesha utoto wa kiwango cha juu. Nahitaji siafa za nini wakati hata jina ninalotumia hapa ni bandia?
Na kabla ya kusema hayo umejaribu kufuatilia mada ambazo huwa ninachangia na kujiridhisha kuwa unadeal na mtu wa namna gani?
You just need to do your homework before utter any word, especially if it can be offensive to your colleagues!
Hahhahhah we Dina hebu tuache utani sasa nataka uniambie ukweli hivi ni kweli upo kwenye ndoa na mme wako ni mwana JF kama jibu ni ndio MBONA HUWA UNAJIACHIA SANA KWENYE MAZUNGUMZO NA WATU WENGINE HUMU JAMVINI UNAJIACHIA MNO ndio maana inaniwia vigumu kuamini unayosema.Maana hakika kama mimi ningekuwa na mke wangu naye ni mwana JF ningeona anazungumza mambo yanayofanana fanana na unayozungumza mbona ningemlazimisha kwa nguvu anipe passwords za akaunti yake ili kuhakikisha siibiwi.Wewe Dina upo single na unasema haya yote ili KUJIHAMI TU.Lakini Kiukweli DINA upo single.
Dawa nyingine wakati wa Tendo mwanamke fumba machooo mimba utaziona kwaa wengine
Mhh mimi siwezagi...maana tendo lote linakua halina maana
Kwani mnashindwa nini kutuenzea mode of action ya majivu yenu?
Kwamba mmebahatisha mkaendelea kufurahia uzinzi siyo proof kwamba kuna kinga kwenye majivu. Au unataka kusemaje?
Kuna watu wanatumia therapy ya mkojo kwa magonjwa na chunusi. Kuna wanawake wameenda mbali na kutumia therapy ya MP blood kuondoa chunusi, ni aina za fikra tu, hata kama hazina ukweli.
Sasa hivi dengue watu wanaambizana therapy ya majani ya mapapai, wakati kuna tetesi yule daktari wa akili aliyefariki ilikuwa ni sababu ya therapy hii.
Sasa kujaribu kupata majibu hapa, sijui.
Duh...sasa wale ambao ratiba zao za kugegedwa zipo tight...yaani jtatu to ijumaa wapo ulingoni si watakunywa hayo majivu mpaka wakome....
Baada ya mwezi atakuwa ananuka mkaa...kama sio kuhema majivu.
Its true mkuu,hali ya ubarid na mfuko wa uzazi haviendani kabisa,ili kukuza kiumbe kunahitajika joto flani mwilini,maji baridi huaribu mfumo mzima so mtagegedana free mpaka mrizike