albertt
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 339
- 78
Hii njia huwa tunaitumia sana na mpenzi wangu miaka mitatu nyuma alikua ananiambia tutumie hii njia nikamwona kama ni chizi asiye elewa biology lakini niliamua kukubaliana nae akipata ujauzito iwe juu yake lakini hadi kesho sijaona kitumbo.haha mababu zetu walikua na akili kweli hata wazungu wanasubiri