Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

KUMBE UMEVUJISHA PM zangu nashangaa kuna mtu mwingine kanijibu sijui kajuaje KUVUJISHA PM ni kinyume cha sheria za JF itanibidi nikakushitaki kwa invisible kwa kuvujisha maongezi ya siri humu jamvini wakupige banned .NIMEKOMA.

Ndio ukome kutuma tuma pm hubby wangu kakujibu imetoshaaa nadhan, bye
 
Tatizo ni kwamba wengine tunaonana kwa msimu,afanaleki aje eti niko siku za hatari mwili wawaka moto kwa matamanio nimnyime haki yake! la hasha..na kutumia mpira na mahabuba ni mtihani..sasa je nifanyeje ili nizuie mimba kutungwa..?

Ninacho jua mm unapo amua kutumia njia ya kalenda lazima umshirikishe mwenzi wako. Kwa hiyo inapotokea hali hiyo anapoanza tu hisia za kutaka kumwaga inatakiwa amwage nje. Halafu aende akakojoe mkojo wakawaida bafuni. Akisha fanya hivyo akae muda wa dk 30 kisha muendelee na mchezo wenu. Hii njia aliniambia dr mmoja ni nzuri. Yeye ana miaka 20 kwenye ndoa ana watoto njia anayo itumia ndiyo hiyo ya kalenda.
 
kama unarudi vaa kondomu kwakuwa kuna mabaki ya mbegu kwenye mirija chomeka chomoa itazisukuma na kuingia ukeni baada ya masaa 3 kuna usalama kwakuwa mabaki yanayeyuka sasa wewe jifanye unarudi baada ya dk 5 uombwe malimao mwisho wa mwezi

asante mkuu
 
Kuna hii nikisikia kwa mama mmoja wa kimasai ambayo wanadai kawafanyia watu wengi na inafanya kazi unachukua kitambaa cheupeee kuna aina fulani hivi ya punje za harage huwa wanazitumia kama unataka ukae mwaka1 unaw eka punje moja km 3 unaweka punje 3 za hilo harage halafu hicho kitambaa unaweka kidogo ile prd yako ya mwz unaweka harage kiasi cha miaka unayotaka unanuia halafu unakifunga vizuuri unatakiwa ukiifadhi sehemu ambayo huwezi isahau kwa vile kikipotea ndio imekula kwako kwa tafiti zaidi waone wale wamama wamaasai wa kijijini sio wa mujini.
 
Dawa zimetengenezwa kwaajili ya kumezwa kuzuia tu haijaandikwa popote kuwa zinaweza toa ila ni uchakaramu tu na utukutu wetu ndo tumevumbua hivyo

Rafiki angu soma vizuri ufanyaji kazi wa izo dawa kisha fuatilia mimba inatungwa wapi. Halafu uniambie mimba inazuiliwaje...
Kitanzi kinanyonga mimba changa (abortion) etc
 

Ngumu kumeza. Ila kwa wateule wachache ..
 

OK, ki imani zaidi....
 
OK, ki imani zaidi....

Hilo nalo neno manake hata sasa hivi mtu akisikia viungo vinamuua kidogo tu mawazo yoote yanahamishiwa kwenye dengue mwisho wa siku unazidiwa kwa hofu kweli imani inajenga
 
Wajanja wa mjini hutumia 0713 kuzuia mimba.
 
Hey dude respect yourself whether you stay in Songea or Dodoma she doesn't give a f.u.c.k usilazimishe kujibiwa ulichoandika kwenye pm na usilazimishe urafiki sasa umevuka mipaka

Hahaaa..,ngoja niwaletee ng'ombe/jani kwanza zipigwe
 
hiyo dawa ya mtu kuvimbiwa au kiungulia...sasa jichanganye uone kama mimba itatoka..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…