KUMBE UMEVUJISHA PM zangu nashangaa kuna mtu mwingine kanijibu sijui kajuaje KUVUJISHA PM ni kinyume cha sheria za JF itanibidi nikakushitaki kwa invisible kwa kuvujisha maongezi ya siri humu jamvini wakupige banned .NIMEKOMA.
Tiba ni imani. Amini utapona. Hata hizo za kizungu haziwatibu watu wote na zina madhara kibao....
Tatizo ni kwamba wengine tunaonana kwa msimu,afanaleki aje eti niko siku za hatari mwili wawaka moto kwa matamanio nimnyime haki yake! la hasha..na kutumia mpira na mahabuba ni mtihani..sasa je nifanyeje ili nizuie mimba kutungwa..?
kama unarudi vaa kondomu kwakuwa kuna mabaki ya mbegu kwenye mirija chomeka chomoa itazisukuma na kuingia ukeni baada ya masaa 3 kuna usalama kwakuwa mabaki yanayeyuka sasa wewe jifanye unarudi baada ya dk 5 uombwe malimao mwisho wa mwezi
Dawa zimetengenezwa kwaajili ya kumezwa kuzuia tu haijaandikwa popote kuwa zinaweza toa ila ni uchakaramu tu na utukutu wetu ndo tumevumbua hivyo
Point muhimu sana, bahati yangu mbaya, siamini
Ninacho jua mm unapo amua kutumia njia ya kalenda lazima umshirikishe mwenzi wako. Kwa hiyo inapotokea hali hiyo anapoanza tu hisia za kutaka kumwaga inatakiwa amwage nje. Halafu aende akakojoe mkojo wakawaida bafuni. Akisha fanya hivyo akae muda wa dk 30 kisha muendelee na mchezo wenu. Hii njia aliniambia dr mmoja ni nzuri. Yeye ana miaka 20 kwenye ndoa ana watoto njia anayo itumia ndiyo hiyo ya kalenda.
Ndio ukome kutuma tuma pm hubby wangu kakujibu imetoshaaa nadhan, bye
Kuna hii nikisikia kwa mama mmoja wa kimasai ambayo wanadai kawafanyia watu wengi na inafanya kazi unachukua kitambaa cheupeee kuna aina fulani hivi ya punje za harage huwa wanazitumia kama unataka ukae mwaka1 unaw eka punje moja km 3 unaweka punje 3 za hilo harage halafu hicho kitambaa unaweka kidogo ile prd yako ya mwz unaweka harage kiasi cha miaka unayotaka unanuia halafu unakifunga vizuuri unatakiwa ukiifadhi sehemu ambayo huwezi isahau kwa vile kikipotea ndio imekula kwako kwa tafiti zaidi waone wale wamama wamaasai wa kijijini sio wa mujini.
OK, ki imani zaidi....
Wajanja wa mjini hutumia 0713 kuzuia mimba.Hbr wakuu wote jamvini....
Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,
1. Weka majivu nusu glass
2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi
3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri
4. Acha maji yajitenge na majivu
5. Kunywa maji ya juu
Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza 7bisha tumbo kuuma kwa muda mfupi. Juice ina ukakasi/uchachu.
Wewe wajua kinga ipi ya asili? Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa
Wajanja wa mjini hutumia 0713 kuzuia mimba.
Dawa ya mimba ni blowjob tu
Kwahiyo ni kila baada ya goli moko au mwisho wa mchezo kabisa? Ncje nkatembelea rim af nkamjaza m2
Hey dude respect yourself whether you stay in Songea or Dodoma she doesn't give a f.u.c.k usilazimishe kujibiwa ulichoandika kwenye pm na usilazimishe urafiki sasa umevuka mipaka
hiyo dawa ya mtu kuvimbiwa au kiungulia...sasa jichanganye uone kama mimba itatoka..
Kalenda mimi ndo ninayoijua