asante mkuu!
ingefaa zaidi ungetuwekea faida na hasara za hizo dawa lishe ili wale wenye kutaka kujua zaidi waweze kufahamu zaidiMwelekeze pia ndg, jamaa na rafiki yako kuwa:
Uungwana ni kutumia ujuzi katika kusaidia wengine wenye matatizo, msongo na migongano ya ndoa kwa kuwa wanandoa wamekaa kipindi kirefu bila kupata watoto - tumia dawa lishe kwa miezi miwili (2) mtafute mtalaam kwa simu +255788 628696
Nimeipend hy asant kakaHabari wanaJF,
Nimeleta kwenu bandiko lako ili tuweze kujadili njia mbalimbali za asili za kupanga uzazi.
Tujadili...
2. Uzazi wa Mpango: Jinsi ya kutumia Majivu kuzuia mimba
3. Matumizi ya mbegu za Mnyonyo kupanga uzazi
4. Mwanaume kumwaga nje ya uke ( Pull Out Method )
Ukitumia Kalenda utamlaumu mke wako buree.Habari ndugi zangu
Naomba ushauri juu ya uzazi wa mpango ni njia gani nzuri na isiyokuwa na madhara kuna kila njia wamama wanatumia kijiti kitanzi sindano na vidonge kwa waliotumia je mmeonaje?
Tumia njia ya Asili, Yaani kalenda.Habari ndugi zangu
Naomba ushauri juu ya uzazi wa mpango ni njia gani nzuri na isiyokuwa na madhara kuna kila njia wamama wanatumia kijiti kitanzi sindano na vidonge kwa waliotumia je mmeonaje?
Wewe umesimuliwa au kusoma tu.