😂😂😂😂Sisi tupo we endelea kupoteza maboya usije ukaanza kuleta uzi zako oooh mke wangu hazai oooh mke wangu ana uvimbe kwenye ovari ooh mkewangu anakansa naitaj maomb tutakufurumsha....OVA
Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Hiyo njia ni ngumu kama kuko..jo..lea njeTumia kalenda hutojutia
Kalenda na Condom ni reliable kiasi % ngapi?Tumia kalenda
Tumia Ndomu.
Mambo ya Kupaisha mpira(kupizi nje) usijaribu garantii ni zero.....Mavijiti na Misindano na Midawa Mkeo atakuwa na Tumbo kama Pipa na shepu itakuwa kama ya sanamu la MICHELINI.
Kalenda na Condom ni reliable kiasi % ngapi?
Kwa kuwa tumepata idadi ya watoto tutakaoweza kuwapa huduma 100% hatutaki kuongeza kabisa,vidonge vimefanya mke wangu akose hamu kabisa. sasa tuna mwezi ameacha kuvitumia na amerudia hali yake ya kawaida.100% Mkuu.
Lengo lako ni nini Mkuu?Habari waungwana.Hebu Leo tushirikishane kidogo kuhusu dawa asili za uzazi wa mpango.Kiufupi jamii ya Sasa imekuwa ikijikita katika maswala haya,ya uzazi wa mpango kwa,kutumia njia za kisasa licha ya kuwa tafiti zinaonesha kwamba njia hizi zina faida ila madhara yapo pia.
Kwa kuzingatia uzoefu katika jamii je hazijawahi kugunduliwa dawa za asili za uzazi wa mpango na kama zipo hebu tu share uzoefu mana du isijekuwa majanga siku za mbeleni huko mana kama tafiti zinaonesha kwamba madhara yapo isijekuwa Kuna long-term effects ambazo zawazaonekana na zaweza kuwa mbaya zaidi az tym gz.Uwepo wa dawa asilia ungewezasaidia nusuru hali.
hebu eleza vizuri unatumiaje hiyo mbarika ili mimba isitungwe, mbarika ninazo nyingi hapa. Kwa hiyo ukimeza zinaenda kuvuruga mfumo wa homoni kama p2?Wengi wanatamani kuwa na mpango wa uzazi lakini kinachowachosha na kuwatatiza ni njia gani hasa watumie katika kupanga huo uzazi
Usipate tabu tena, chukua (mbegu ya) mbarika yaani nyonyo kisha ondoa ganda lake lile gumu ibaki ile punje ya ndani. Meza punje moja kila mwezi!
Imeisha hiyo