Njia za Asili za Uzazi wa Mpango (Natural birth control methods)

Best angalia post number 82 on this page kisha uende huko. Haya mambo ya kuingiza vitu mwilini bila kujua athari zake hayahusu kitu. Unaweza kubaki unajuta kwa kipindi kirefu katika maisha yako.

 
Kwa kawaida kuna siku 8 tu kila mwezi ambazo mwanamke anaweza kupata mimba ambapo siku hizi zipo katikati ya siku zake za kwenda mwezini, na huanza siku 10 baada ya siku ya kwanza ya kupata damu ya hedhi. Hivyo basi ikiwa mwanamke yoyote hataki kupata mimba ni lazima aache kukutana na mwanaume kwenye siku hizi 8! Naamini hili linawezekana kwani siku nyingine zilizobakia wapendanao wanaweza kujiachia kama kawaida kwani hakuna uwezekano wa mwanamke kushika mimba!

Kwa mfano: Unaingia kwenye siku zako tarehe 5 Desemba, weka alama kwenye tarehe hiyo kisha hesabu siku 10 na baada ya hapo pigia msitari siku 8 zinazofuata!

MziziMkavu kwanza heshima yako mimi naheshimu sana michango yako humu jf hasa katika maswala ya tiba,nimejaribu kulisoma hili lakini nimeshindwa kuelewa,hapo katika nyekundu umekusudia ile siku ya kwanza kupata damu ya hedhi una maana kuanzia tarehe hiyo ndio salama kwa maana nyingine kama mwanamke amepata damu ya hedhi kwa siku 4 basi kuna siku salama siku 6 au umekusudia hesabu inaanza pale anapo maliza hedhi ndio kuna siku kumi salama?

Ingawa sijui jibu lako ni nini na hasa lengo hapa ni kuelimishana sio vibaya nikikupa uzoefu wangu..mimi binafsi natumia kalenda na hii imenifanya mpaka rafiki yangu wa kike ananishangaa kwani hata siku zikikaribia basi mimi huwa nachungulia kama pads zipo na kama hakuna kuwa na nunua kabisa,lakini nadhani situmii kikamilifu ila mchango wako umenifanya nipate hamu ya kujua zaidi..kwa kawaidi mimi huzingatia siku baada ya damu ya hedhi na haijatoke issue yaa ujauzito.

kwanza nikiri mimi sio mtaalam wa hili lakini kama ulivyo tangulia kusema mzunguko au kalenda ya mwanamke ina siku 28 ndimo mnamopatika siku za Damu ya hedhi,siku salama na siku za kushika mimba.
Labda tuanzia na siku ambazo mimba inaweza kushika hii pale yai la mwanamke linapokuwa katika sehemu ambayo kama likikutana na mbegu za kiume basi linafunga na ndio hali ya ujauzito inatokea "Lile swali la mbona sipati siku zangu linapo jitokeza"na kama haikutoke kukutana na mbegu za kiume basi hutoka kwa njia ya damu kwa maana hiyo mimba hutunga kabla kupata damu ya hedhi na baada ya kumaliza damu ya hedhi inachukua muda kidogo mpaka yai la mwanamke kuwa katika sehemu ambayo kama likikutana na mbegu za kiume ndio inakuwa mimba...na pia kuna ile hali ya mbegu za kiume kukaa kwa zaidi ya masaa 48 ndani ya uke zikiwa hai na ujauzito kutokea sikumbili baada ya kujamiiana.
 
Habar waungwana Naomba Maelekezo ya Njia ya ASILI ya kuzuia Mimba ambayo ni salama kabisa.

The 'after day pill' is an abortion pill. Which means if you fertilized her egg, and life has started - that basically you just aborted the child by preventing it from being able to implant into the wall of her uterus. Way to go dad! S orry, anti-stupidity abortion.

Quoted by Sunny: "It is only after 14 days of period that ovaries are produced" ((please don't believe a guy who doesn't even know about ovaries, and who thinks the ovary is the freaking egg))
God, if I had a buck for every baby born from 'it's scientifically impossible'

Back to the Day After Pill, it works for most women, but it can cause birth defects in the child if it manages to implant anyway, and eventually get born. It can also cause severe cramping, bleeding, and throw her period off for months.

Since I went through fertility treatments, I'll let you in on a little secret most teenagers here don't seem to know. A woman gets pregnant 14 days BEFORE her NEXT period. Not 14 days after her period. This makes a difference in women who don't cycle (start their period) every 28 days exactly. (and mos't don't).

So, have your girlfriend (buy it for her since you're sleeping with her) a little purse sized calendar. Have her mark down the days she bleeds, and in about 2 - 3 months you will see her pattern (or lack of a pattern) for her period. Then what you do is figure out that she SHOULD START her period Aug. 28th, so you then back track 14 days and now know on that date (14 days BEFORE Aug 14th) you don't want to have un safe sex for 4 - 5 days. Because sperm can live up to 5 days in a woman's body.

If it sounds like to much work, you ain't ready for kids. If you ain't ready for kids, you ain't ready for sex.
 

sasa MziziMkavu hicho kichwa kikianza kuoza si chumba kitajaa harufu ya mzoga, au ulimaanisha fuvu la kichwa cha popo??
 
Last edited by a moderator:
Natafuta dawa ya kutowa
mimba. Mkewangu amenasa mimba akiwa anamtoto wa miezi mitatu. Niaibu
lakini imekuwa badi lak nawaombeni, mnishauri.

nakushauri usithubutu ni dhambi ;mm nilipata hivyo hivyo watoto sasa wakubwa wako kama mapacha;unaona aibu je ukijahitaji ukakosa; muangalie Mungu na sio wanadamu
 
je kufunga kizazi kwa mwanamke pia kuna madhara yoyote kama zile njia zingine za uzazi wa mpango?
cc: MziziMkavu Riwa meningitis King'asti
Jeji..kufunga kizazi hakuna madhara yoyote, bali unapofunga ni irreversible, yaani hautapata tena ujauzito kwa njia ya kawaida. Ni procedure ya upasuaji mdogo unaofanywa kuziba mirija ya mayai (fallopian tubes), hivyo hauna madhara yoyote.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu hii njia kuhesabu tarehe naiogopa kama ugonjwa,nilikuwa mtaalamu sana lakini at the end ikaniumbua. Labda kama nitapata njia waliyotumia bibi zetu zamani
[h=2]Jamani kwa yeyote anayejua 'siku ya kushika mimba hapa ni ipi'??[/h]
Akianza kubleed siku hiyo anza kuhesabu siku tisa hawezi pata mimba hata kama utaenda dry
Siku ya 10 mpaka 14 hapa yai hua linapevuka kwa hiyo ukilala nae mimba inaingia
siku ya 15 mpaka 22 hapa fresh no mimba
siku ya 23 mpaka 27 hapa anapata mimba maana yai huwa linashuka
siku ya28 mpaka siku za bleed hakuna mimba
 
Habar waungwana Naomba Maelekezo ya Njia ya ASILI ya kuzuia Mimba ambayo ni salama kabisa.
QARNAFIL utapo twanga mbegu zake na akawa anakunywa mwanamke kila anapotoka katika siku zake hii huzuwia uja uzito kutoshika mimba na haina madhara chemsha kunywa au unaweza kila siku ukawa unameza mbegu moja.
 
QARNAFIL utapo twanga mbegu zake na akawa anakunywa mwanamke kila anapotoka katika siku zake hii huzuwia uja uzito kutoshika mimba na haina madhara chemsha kunywa au unaweza kila siku ukawa unameza mbegu moja.

hizi ni mbegu gani mzizimkavu?
 

basi mimi hapa naelewa tofauti kutokana na vitabu nilivyosoma. ukiaanza period tu siku ya kwanza unahesabu siku kumi.ile ya kumi unaianzia tena kuhesabu moja mpaka zifike siku nane hizo ni ovulation, ambazo ndo waweza kupata mimba tu katika mwezi.
 
Habari wakuu wote jamvini....

Nimepata kusikia kuwa binti akinywa juice ya majivu ndani ya saa 2 toka mbegu za kiume ziingie ktk papuchi ake basi anakuwa salama kbs kuepuka mimba bila kujali siku ya salama au hatari.
Mchanganyo uko hivi,

1. Weka majivu nusu glass

2. Jaza sehemu ya glass iliyobaki kwa maji safi

3. Koraga na ili upate mchanganyiko mzuri

4. Acha maji yajitenge na majivu

5. Kunywa maji ya juu

Zingatia: waweza andaa juice hiyo kabla ya kuanza tendo kwa usalama. Juice haina madhara. Japo yaweza sababisha tumbo kuuma kwa muda mfupi.

Juice ina ukakasi/uchachu.

Wewe wajua kinga ipi ya asili?

Tupeane mawazo wadau wangu. Wote mnakaribishwa

==============


=========
April 18, 2015:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…