Habar waungwana Naomba Maelekezo ya Njia ya ASILI ya kuzuia Mimba ambayo ni salama kabisa.
tumia kalenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habar waungwana Naomba Maelekezo ya Njia ya ASILI ya kuzuia Mimba ambayo ni salama kabisa.
Heheh thoreee, madhara ya kutumia condom toka niko std 3! (kupuliza sio kwa mambo mabaya).
Hivi majani ya mtura yakichemshwa afu akaogea haizuwii? Ngoja MziziMkavu amalize kuswali taraweeh aje.
Mkuu charminglady Nenda kaulize wanapouza Dawa za kiarabu wapemba karibu na sokoni Kariakoo utaipata hiyo Shabu.
![]()
Shabu kwa kiingerwza inaitwa Methamphetamine
![]()
Mkuu wangu MziziMkavu napata tabu kuhusisha mechanism of action katika kuzuia mimba, bado tunajifunza sana pia, hebu wengine King'asti, ZeMarcopolo, meningitis, Erythrocyte, @Dr Riwa naombeni jumuikeni huku
Mkuu MALICK MUSSA Kinachotakikana ni kichwa cha popo ukikate hata aliye kufa pia unaweza kukitaka kichwa chake ukaweka chini ya mto wa kulalia kwa ndani yake (Pillow) Basi dume hata akifanya ufundi wa aina gani mwanamke au mke wake hawezi kushika mimba kamwe Tumia kisha uje hapa unipe Feedback. Chanzo ni Chemical MziziMkavu Hauchimbwi Dawa.
![]()
Mto wa kulalia au kwa kiingereza unaitwa Pillow una siri kubwa sana.
Mkuu Mwana kinyonga Kabla sijakujibu ningependa kujuwa kama wewe ni Mwanamke au Mwanamme?Sasa Mzizi kwenye mimba kuna mambo ya kujarib ikinasa si imenasa??
Na hizo shaibu antumbukiza au anaweka juu juu, na inaonekana ni kama punje za chumvi hazitawachubua wakati wa shughul ??
Mkuu Ukwaju Shabu hiyo akitia mwanamke kwenye uchi wake kabla ya kufanya tendo la ndoa mwanamme anapomfanya akitoa shahawa zake hiyo shabu kazi yake inauwa zile mbegu za kiume zisiweze kufikia yai la huyo mwanammke kushika mimba hiyo ndio kazi yake shabu mkuu upo pamoja na mimi?Mzizi Mkavu mbona mshine ndio inakuwa nta? yaani hata nikiupaka mkuyati wangu hautaingia ila ni kumfumua bikra tena.![]()
labda ufafanue inauauaje mbegu? maana tutachunana na kale ka kirus katakuja
Bibie kipenzi charminglady wewe unavyofikiri nitakupa Dawa ya sumu mimi MziziMkavu? khaaa jaribu tu kutumia uweke wakati unafanya tendo la mapenzi itayeyeyuka wakati mnafanya mapenzi na shemeji yangu ningelikuwepo mimi ningelikwambia tufanye test nimefunga bibie ninakutania usikasirike.Mkuu... hiyo shabu haina madhara yeyote nikitumbukiza kunako naniliu????
Mkuu Mwana kinyonga Unasemaje wewe ni Mke au Mume?
Bibie Fixed Point Unaweza pia kutumia dawa ya Shabu kuweka kwenye keki yako kabla jamaa hajaila hiyo keki yako unasemaje?kwa hiyo hapa tunapoweka kichwa cha popo tutumie style moja tu?
maana zingine itawezekanaje mdada kuulalia huo mto? kaazi kweli
Mkuu Lorisy Elimu hiyo nimeipata Miaka 2000 kabla ya kuja Bwana YESU Kristo huwezi kupata kwenye kitabu chochote kile hata Babu wa Lolilondo hana Elimu hiyo Mkuu lorisy, hiyo ni Elimu ya Sayansi na Teknolojia Ya Tiba Mbadala huwezi kuipata ovyovyo hata Ma-Daktari hawawezi kuipata elimu hiyo.duuh,sijawahi kusikia hizi njia..nahisi ni maswala ya imani zaidi maana popo chini ya mto na mimba wapi na wapi..
Mkuu... hiyo shabu haina madhara yeyote nikitumbukiza kunako naniliu????
Mkuu Idimi Dawa zipo nyingi tu nyinyi mumezoea Dawa za kizungu Asprin, Panadol na kadhalika sisi wengine tumezoea Dawa zetu za Asili ya Sayansi na Teknolojia ya Tiba Mbadala Huwezi kupata Elimu hiyo mpaka uende kozi ya miaka 10 Mkuu.Umeona eeh? Hilo la popo hata mie limenishtua sana
Mkuu Mwana kinyonga Unasemaje wewe ni Mke au Mume?
Mkuu MziziMkavu ina maana hiy shabu whatever you call it inafanya kazi kama spermicides?? nadhani twahitaji kujifunza hii zaidi... King'asti, meningitis, ZeMarcopolo, Riwa kujeni pande hiziMkuu Ukwaju Shabu hiyo akitia mwanamke kwenye uchi wake kabla ya kufanya tendo la ndoa mwanamme anapomfanya akitoa shahawa zake hiyo shabu kazi yake inauwa zile mbegu za kiume zisiweze kufikia yai la huyo mwanammke kushika mimba hiyo ndio kazi yake shabu mkuu upo pamoja na mimi?
umeona eeehhhh! yaani ni majanga?
sasa hiyo ya kutumia kichwa cha popo kwenye mto......
Mkuu MziziMkavu ina maana hiy shabu whatever you call it inafanya kazi kama spermicides?? nadhani twahitaji kujifunza hii zaidi... King'asti, meningitis, ZeMarcopolo, Riwa kujeni pande hizi