siku hizi nanywa zanzi ana G&t manake dompo zinakausha sana mdomo.
upo mdogo wangu?? siku hizi hatupishani posta tena looool?
umepata wangu!! Nena lingine, mzima mamito?haya rudi kanigongee like ebo!
Mzim wewe na twins wangu??
Mwenzio nina triplets hapa nimechoka balaa..........niandalie visepe tu
nimejifungua jujajua tu?? Copy Kaizer! Na aliyesema zanzi ipo kwenye viroba tu nani?? Tena chupa yake hapana chezeiya copy gfsonwin!dah aisee umeitaja zanz umenkumbusha mbali sana hujui tu...kwanza the smelll!!!!!!! I didn't know ni famous kiivo. Problem yake haipatikani sana madukani n iko kwenye pakiti kama kiroba! They should do something about it.
Niliambiwa uko likizo ya uzazi....
siku hizi nanywa zanzi ana G&t manake dompo zinakausha sana mdomo.
Etiii???? nmepata mshtuko mara tatu...
1. Umejifungua lini wewe juzi unansalimia katumbo bado kadogo kabisa..
2. Kwanini Copy to Kaizer na sio Asprin ???
3. Sijui kama Zanzi ipo kwenye chupa kweli vile...nshazoea za viroba!!!! aaah...ntaachaga izi tabia za kwenda kunywa kwenye vibaa uchwara aisee...
nasikia kinyesi cha mtoto mchanga ni dawa,ulambe na chengine upake kidogo kwnye paji la uso kwa muda wa wiki moja,unaacha kabisa
acha ufukunyuku we Mentor, mtu akimtaja shemejie kwani kuna ubaya?Etiii???? nmepata mshtuko mara tatu...
1. Umejifungua lini wewe juzi unansalimia katumbo bado kadogo kabisa..
2. Kwanini Copy to Kaizer na sio Asprin ???
3. Sijui kama Zanzi ipo kwenye chupa kweli vile...nshazoea za viroba!!!! aaah...ntaachaga izi tabia za kwenda kunywa kwenye vibaa uchwara aisee...
Ndugu yangu nisaidie, kakako sasa nimefanywa gunia la chumvi....Etiii???? nmepata mshtuko mara tatu...
1. Umejifungua lini wewe juzi unansalimia katumbo bado kadogo kabisa..
2. Kwanini Copy to Kaizer na sio Asprin ???
3. Sijui kama Zanzi ipo kwenye chupa kweli vile...nshazoea za viroba!!!! aaah...ntaachaga izi tabia za kwenda kunywa kwenye vibaa uchwara aisee...
Wadau/wakuu wa jamvi nisaidien katika hili nataman sana kuacha pombe lakini nashindwa nifanyaje? Na je kuna dawa maalum ya kutumia ambayo inaweza nsaidia?(mi ni nywaj wa kama bia 7 na kuendelea kwa siku wakat mwingine had nazima kabisa)