MAKAVU LAIVU
Member
- Oct 13, 2012
- 75
- 12
Mim n mwalimu wa grade A ngazi ya chet halafu sina credit tatu.Hivyo nkitaka kujua njia bora ya kujiendelaza kielimu kutafuta credit kwanza? Au kuna njia bora tofauti na hyo naomben msaada wenu kwanza.MUNGU n mwema
Tumia cheti chako kwakusoma koz yoyote ngaz ya diploma lakn uwe ulifanya vizur
Pamoja na kuwa sina uhakika, OUT kupitia Foundation Course yao haiwezi kuwa njia nyingine mbadala?
kaka mm cjui2 km kuna foundatio course unatumia chet cha uhalimu?
hivi unafundisha somo gani mkuu ...?
kaka mm cjui2 km kuna foundatio course unatumia chet cha uhalimu?
itakua makavu laivu
mkuu waweza kutumia cheti chako cha gatce iwapo kiko vizuri.angalau uwe na ufaulu usiochini ya credt 4.2 kidogo au uwe na dinstiction moja kwa moja. Apo utaomba kusoma diploma ukishamaliza diploma yako ukafaulu vizuri unaomba mkopo unaenda zako universty
Mim n mwalimu wa grade A ngazi ya chet halafu sina credit tatu.Hivyo nkitaka kujua njia bora ya kujiendelaza kielimu kutafuta credit kwanza? Au kuna njia bora tofauti na hyo naomben msaada wenu kwanza.MUNGU n mwema