Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Njia pekee ya kunenepa ni kula chakula cha kutosha haswa vyakula vyenye mafuta mafuta.Habari zenyu... Kama kichwa kinavyojieleza hapo... Wanasemaga unene ni shida ila kuna watu tupo kama ubao uliokauka...tunaitaji mwili.... Kama kuna mtu anajua njia za kunenepa...au ushauri anaeza akashare...
uzi tayari
huu ni umbea hakuna ushauri hapaNjia pekee ya kunenepa ni kula chakula cha kutosha haswa vyakula vyenye mafuta mafuta.
Inategemea na chakula unachokula ,sasa kama unashindia kila siku ugali maharage unategemea utanenepa?Mm vilo vyaongezeka ila mwili uleule..
Mara nyingi hua Kitimoto na ng'ombeInategemea na chakula unachokula ,sasa kama unashindia kila siku ugali maharage unategemea utanenepa?
Sio mafuta mafuta. Hii ni slow way. Kwanza vitakukinai hutaweza kula amount inayotakiwa.Njia pekee ya kunenepa ni kula chakula cha kutosha haswa vyakula vyenye mafuta mafuta.
Njia pekee ya kunenepa ni kula chakula cha kutosha haswa vyakula vyenye mafuta mafuta.
[emoji23]huu ni umbea hakuna ushauri hapa
Vijiko vingap?chai yako isikose hamira kila ahsubuhi
ShukraniAcha roho mbaya kijana, utanenepa tu