Mwanakulipata
JF-Expert Member
- Jul 17, 2018
- 714
- 1,193
Habari zenyu... Kama kichwa kinavyojieleza hapo... Wanasemaga unene ni shida ila kuna watu tupo kama ubao uliokauka...tunaitaji mwili.... Kama kuna mtu anajua njia za kunenepa...au ushauri anaeza akashare...
uzi tayari
uzi tayari