Njia za kunenepa.

Binafsi nishafatilia kuhusu unene mpaka nimechoka sijanenepa, nlikuwa nakula sana vitu vizuri lakini wapi!
Mjomba wangu alikuwa mwembamba sanaaa japo alikuwa na uchumi mzuri na alikuwa anapata vyote vizuri ambavyo vijana tungependa kuwa navyo lakini hakuwahi kunenepa kamwe mpaka alipoingia kwenye ndoa, sasahv ameshauriwa apunguze uzito!

Ila bado naamini ukiridhika na hali uliyonayo kimaisha na ukiweza kuzuia stress utanenepa sana!! Binafsi naamini stress zinakondesha sana
 
Pata mimba zaa nasikia inanenepesha
 
Hii mada inanifaa kuliko kawaida..Nimefanya jitihada zote angalau ni nenepe lkn mission failed
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…