Njia za kuondoa weusi katika lips...

Njia za kuondoa weusi katika lips...

mr vata

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2017
Posts
465
Reaction score
616
Wakuu...

Katika kipindi cha makuzi yangu kuanzia naanza kujitambua mpaka kipindi cha miaka ya kuanza kubalehe hivi nilikuwa na midomo (lips) ambazo hazikua na weusi hata kidogo. Hazikua zimeokoza ile pink lakini zilikuwa na rangi nzuri tu.

Baadae sijui nini kilitokea. Kwa sasa nina lips nyeusi kama vile navuta sigara. Mara kwa mara nimekuwa nikiulizwa hili swali kwamba je, navuta sigara?

Nahitaji kuondoa huu weusi. Msaada tafadhali...

1620909683714.png

 
Tafuta pesa mzee ukiwa na pesa hizo kasoro sijui midomo myeusi kucha ukoma hakuna ambaye ataziona.

Unaulizwa hivyo kutokana na pesa huna so watu wanakuchukulia bwege mmoja tu upo upo tu ila ukiwa na uchumi hakuna pimbi atauliza masuala hayo.
 
Tafuta pesa mzee ukiwa na pesa hizo kasoro sijui midomo myeusi kucha ukoma hakuna ambaye ataziona.

Unaulizwa hivyo kutokana na pesa huna so watu wanakuchukulia bwege mmoja tu upo upo tu ila ukiwa na uchumi hakuna pimbi atauliza masuala hayo.
Mungu anakuona mkuu[emoji23][emoji23]

Sent from my Redmi Note 9S using JamiiForums mobile app
 
Tafuta pesa mzee ukiwa na pesa hizo kasoro sijui midomo myeusi kucha ukoma hakuna ambaye ataziona.

Unaulizwa hivyo kutokana na pesa huna so watu wanakuchukulia bwege mmoja tu upo upo tu ila ukiwa na uchumi hakuna pimbi atauliza masuala hayo.
Sifanyi kwa ajili yao mkuu. Mimi mwenyewe zinanikera. Uwe unasoma kuelewa sio kujibu.
 
Wakuu...


Mara kwa mara nimekua nikiulizwa hili swali kwamba navuta sigara. Nahitaji kuondoa huu weusi. Msaada tafadhali...

Siyo wewe uliyesema hapa kwamba umekuwa ukiulizwa mara kwa mara kama unavuta sigara?

Sifanyi kwa ajili yao mkuu. Mimi mwenyewe zinanikera. Uwe unasoma kuelewa sio kujibu.

Mimi nimesoma kukuelewa na nikaenda mbali zaidi hata kuwasoma fikra za hao wanaokuuliza maswali hayo ni kwamba wanakuchukulia simple....hivi mtu anaanzaje kuniuliza habari za lips zangu ategemee jibu?najiuliza kwanza anaanzaje?

Nakusisitiza tafuta pesa hayo maswali hatakuwepo mtu wa kukuuliza nature ya binadamu maskini ni kuuliza vijiswali vya ajabu ajabu ili akupime uwezo wako wa fikra epuka hilo kwa kuonekana tofauti nao,mtu anajua kabisa lazima mwisho wa mazungumzo yenu akupige kizinga atauliza habari za weusi wa lips zako?
 
Siyo wewe uliyesema hapa kwamba umekuwa ukiulizwa mara kwa mara kama unavuta sigara?



Mimi nimesoma kukuelewa na nikaenda mbali zaidi hata kuwasoma fikra za hao wanaokuuliza maswali hayo ni kwamba wanakuchukulia simple....hivi mtu anaanzaje kuniuliza habari za lips zangu ategemee jibu?najiuliza kwanza anaanzaje?

Nakusisitiza tafuta pesa hayo maswali hatakuwepo mtu wa kukuuliza nature ya binadamu maskini ni kuuliza vijiswali vya ajabu ajabu ili akupime uwezo wako wa fikra epuka hilo kwa kuonekana tofauti nao.
Eti kijana anashuka kutoka kwenye Range Rover lake jeusi vioo tinted rims zinameremeta kweli kuna mtu ataangalia weusi wa lips? Tena huo weusi wa lips utageuka kuwa sifa mojawapo nyegeshi sana. Pesaaaa !
 
Eti kijana anashuka kutoka kwenye Range Rover lake jeusi vioo tinted rims zinameremeta kweli kuna mtu ataangalia weusi wa lips? Tena huo weusi wa lips utageuka kuwa sifa mojawapo nyegeshi sana. Pesaaaa !!!
Kwa hiyo nikiwa na pesa hizo unazoshauri wewe mimi mwenyewe nitaanza kuvutiwa na huu weusi sio?

Kwamba sipendi weusi wa lips zangu kwa sababu sina hela.
 
Nimeshawah kuwa muhanga wa ilo tatizo, nakushauri fata routine ifuatatyo mara kwa mara:

1. Ukiwa unapiga mswaki uwe unapitisha mswaki kwenye lips, lakin usitumie nguv kuepusha vidonda
2. Pendelea sana kula machungwa coz rangi ya lips inachangiwa sana na vit.C
3. Kama upo maeneo yenye baridi, pendelea kupaka lip balm au ata mafuta ya mgando coz lip dehydration inapelekea black lips

Fata iyo routine regularly trust me u'll see some changes, especially ya kwanza na ya pili
 
Nimeshawah kuwa muhanga wa ilo tatizo, nakushauri fata routine ifuatatyo mara kwa mara:

1. Ukiwa unapiga mswaki uwe unapitisha mswaki kwenye lips, lakin usitumie nguv kuepusha vidonda
2. Pendelea sana kula machungwa coz rangi ya lips inachangiwa sana na vit.C
3. Kama upo maeneo yenye baridi, pendelea kupaka lip balm au ata mafuta ya mgando coz lip dehydration inapelekea black lips

Fata iyo routine regularly trust me u'll see some changes, especially ya kwanza na ya pili
Asante mkuu
 
Kwa hiyo nikiwa na pesa hizo unazoshauri wewe mimi mwenyewe nitaanza kuvutiwa na huu weusi sio?

Kwamba sipendi weusi wa lips zangu kwa sababu sina hela.
🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom