Lips za pink mpauko zipo mrembo.Mkuu wewe ndiyo mbishi unazijua Lips za Pink wewe? Sijawahi sikia hiyo rangi pia iwe imekoza ama imekoleza hamna lips za hivo bana. Na unavosema lips nyeusi are you sure ni nyeusi kama hiyo rangi? Jifunze kutumia rangi kulingana na mazingira/kitu/mtu husika acha ubishi. Si nyeupe kama karatasi ila ni nyeupe kwa rangi ya binadamu ova.💪
Duh haya dear! Nilikua nabishana hapa sijawahi kuziona hizo🤷♀️ mr vata haya umeshinda wewe🏆Lips za pink mpauko zipo mrembo.
Lakini unatakiwa kufahamu ya kwamba macho ya mwanaume yanaona rangi chache kuliko ya mwanamke.Mkuu wewe ndiyo mbishi unazijua Lips za Pink wewe? Sijawahi sikia hiyo rangi pia iwe imekoza ama imekoleza hamna lips za hivo bana. Na unavosema lips nyeusi are you sure ni nyeusi kama hiyo rangi? Jifunze kutumia rangi kulingana na mazingira/kitu/mtu husika acha ubishi. Si nyeupe kama karatasi ila ni nyeupe kwa rangi ya binadamu ova.[emoji123]
Hahaa ila bado siamini aisee pink lips??? AarhDuh! Mtu mbishi amekubali kushindwa! Kweli nimekaza[emoji1787][emoji1787]
By the way hongera maana asiekubali kushindwa.....
Wewe nimekupa muongozo wa lips nyeupe umenibishia hadi kesho aisee! Muongozo gani utakubali sasa😏Lakini unatakiwa kufahamu ya kwamba macho ya mwanaume yanaona rangi chache kuliko ya mwanamke.
Kwa hiyo ktk suala la kuzitaja hizo rangi kwa usahihi utanipa muongozo.
Nikumbushe kidogo, wewe ndiye ulipewa mimba na dereva wa bajaji?Zangu...nyekundu Mkuu...Zina vitiligo [emoji3][emoji3][emoji3]
Mkuuu nimepata vitiligo na MIAKA 14...hizo pombe Wala sikua nazijuaPole. Vitiligo ina dawa mkuu. Lakini iwe vitiligo kweli na sio athari za pombe kali.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mimi na wewe tu sawa [emoji4]
Hi niliona wanaitangaza IGKuna Vaseline ndogo zina rangi ya pink zinauzwa kkoo zinaitwa rosy lips jaribu zinaweza kukusaidia.
Sina Mimba,sina mtoto... Sina mpnz dereva bajaji..Wala Sijawai TOA MIMBANikumbushe kidogo, wewe ndiye ulipewa mimba na dereva wa bajaji?
Jibu Hilo, Ukiwa na Pesa hata Huo Muda wa Kujitazama Kwenye Kioo Unautoa Wapi SasaKwa hiyo nikiwa na pesa hizo unazoshauri wewe mimi mwenyewe nitaanza kuvutiwa na huu weusi sio?
Kwamba sipendi weusi wa lips zangu kwa sababu sina hela.
Hahahaha acha kutumia vilevi vikaliWakuu...
Katika kipindi cha makuzi yangu kuanzia naanza kujitambua mpaka kipindi cha miaka ya kuanza kubalehe hivi nilikuwa na midomo (lips) ambazo hazikua na weusi hata kidogo. Hazikua zimeokoza ile pink lakini zilikuwa na rangi nzuri tu.
Baadae sijui nini kilitokea. Kwa sasa nina lips nyeusi kama vile navuta sigara. Mara kwa mara nimekuwa nikiulizwa hili swali kwamba je, navuta sigara?
Nahitaji kuondoa huu weusi. Msaada tafadhali...
Nipo na pink lips. 😊[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Good for you ...Me nadhani Ni red... sometimes Pink..but never blackNipo na pink lips. [emoji4]
Mimi kuna kipindi na mimi zilinitoka nlijua vitiligo aisee kumbe ilkua athari ya kikombe cha bati cha moto kwa mzabuni KJZangu...nyekundu Mkuu...Zina vitiligo [emoji3][emoji3][emoji3]