Njia za kuondoa weusi katika lips...

Mkuuu nimepata vitiligo na MIAKA 14...hizo pombe Wala sikua nazijua
Doctor Aliniambiaga nikubali yangu..ntazikwa nayo..hakuna DAWA for now
Aisee poleee lakini we si mweupe kiasi vitiligo haionekan sana kwakoo kama si mweupe kwann usfanye kama MJ tu
 
Oh asante
 
Zangu ni nyeusi kwaajili ya kuchoma Kaya (Dunzi)
 
Ueuuii, zangu zinakuaga za pink... na hii inaweza kuwa tatizo kwani? Sometimes mtu anaweza fikiri nimepaka lipstick
 
Mkuuu nimepata vitiligo na MIAKA 14...hizo pombe Wala sikua nazijua
Doctor Aliniambiaga nikubali yangu..ntazikwa nayo..hakuna DAWA for now
Vitiligo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…