Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
11,622
Reaction score
26,005
Mimi si mtu wa vyama vya siasa au muumini wake ila kwa alichoongea kaka yangu Mh freeman Mbowe sikiafiki moja kwa moja na wala sikipingi.

Jana akiwa mwanza Mh.Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA MH Freeman Aikael Mbowe, kimoja kati ya alivyozungumzia ni kuhusu Utolewaji wa chanjo ya Uviko (uambukizo wa virusi vya korona) almaarufu kama COVID19

Ntanukuu:

"Serikali inasema Chanjo ya COVID-19 ni hiari ya Mtu, akatayependa ndiye apewe. Huu sio utaratibu wa WHO. Kwa wenzetu chanjo ni lazima, tunamuomba Mama Samia aweke utaratibu wa chanjo kuwa lazima na inapaswa itolewe kwa kila Mtu, huu ugonjwa unaua” alisema Mheshimiwa mwenyekiti Mbowe"

Siwezi ku " jaji" alichosema kwani ntakuwa naenda kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 (1 )na (2) na pia mbowe ana maumivu makali ya kupoteza wapendwa wake kwa COVID19

Lakini alichosema kuhusu WHO kufanya uchomaji wa chanjo hiyo kuwa lazima si kweli ila wameshauri kuhusu hilo.

Kilichosemwa na Mh Mbowe kinapingana moja kwa moja na Medical ethics ambacho Haimlazimu Healthcare Worker kumshurutisha mtu kupewa Dawa au matibabu bila ridhaa yake. Sasa shirika la afya dunia je limeruhusu kufanya hivyo....endelea kusoma .......

WHO WASEMAJE KUHUSU UCHOMAJI WA CHANJO YA COVID19 KUWA LAZIMA?(WHAT WHO SAID ABOUT MANDATORY COVID19 VACCINATION)

Who kupitia ukurasa wao mwaka 2021 mwezi wa 4 tarehe 13 walitoa Policy brief yaani maelezo kuhusu sera ya mandatory vaccination kama Kaka yangu akiweza akaipitie bado ipo pale kwenye tovuti yao sera hiyo ilikuwa inaitwa

"COVID-19 and mandatory vaccination: Ethical considerations and caveats Policy brief"

Ukisoma policy hiyo WHO wanaelezea kuhusu ulazima waliosema sio ulazima wa kisheria bali ni ulazima wa ki ethical yaani watu washawishiwe ili kila mmoja aweze kuchoma chanjo yake kwa uhuru na ndiyo maana ikaitwa hiari iliyo mandate ntanukuu kipengele cha sera hiyo, kwenye kipengele cha "what does mandatory vaccination entails"

"Despite its name, ‘mandatory vaccination” is not truly compulsory, i.e., force or
threat of criminal sanction are not used in cases of non-compliance. It is therefore the kind of mandatory vaccination described at the beginning of this paragraph to which we refer in this document. Still, “mandatory vaccination” policies limit individual choice in non-trivial ways by making vaccination a condition of, for example, attending school or working in particular industries or settings, like health care. Such policies are not uncommon (2), although it should be noted that the World Health Organization (WHO) does not presently support the direction of mandates for COVID-19 vaccination, having argued that it is better to work on information campaigns and making vaccines accessible (4). In addition, WHO recently issued a position statement that national authorities and conveyance operators should not require COVID-19 vaccination as a condition of international travel (5).

Sasa kwa Tafsiri kutoka maneno ya hapo juu;

"Licha ya jina lake, 'chanjo ya lazima "sio lazima kiukweli, yaani, nguvu au tishio la adhabu ya jinai isitumike katika kesi za kutokufanya. Kwa hivyo ni aina ya chanjo ya lazima iliyoelezewa mwanzoni mwa aya hii ambayo tunarejelea hati hii. Bado, sera za "chanjo ya lazima" zinapunguza chaguo la mtu binafsi kwa kuweka njia ambazo lazma mtu kuzifanya , kwa mfano, kwenda shule au kufanya kazi katika tasnia au mipangilio, kama huduma ya afya. Sera kama hizo sio kawaida (2), ingawa inapaswa kuzingatiwa kuwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) haiungi mkono mwelekeo wa mamlaka za chanjo ya COVID-19, Na shirik linaona bora kufanya kazi katika kutangaza kwenye kampeni za habari (Kuhusu umuhimu wa chanjo) na kufanya chanjo kupatikana mda wote (4). Kwa kuongeza, WHO hivi karibuni ilitoa taarifa ya msimamo kwamba mamlaka ya kitaifa na Waendeshaji wa usafirishaji hawapaswi kuifanya chanjo ya COVID-19 kama kigezo cha kusafiri kimataifa(5)".

Hapo juu ndio msimamo halisi wa WHO kuhusu Chanjo ya COVID19 Kutokuwa ya lazima kwa mchomaji na ukisoma sera hiyo shirika hilo limeendelea kusema kuwa mchomaji anatakiwa awe na uhakika kamilifu kuhusu usalama wake juu ya chanjo hiyo na ubora wake..

KWA WALE WANAOIHITAJI SERA HII NAACHA LINK MWISHO WA THREAD HII

NINI TATIZO LA MHESHIMIWA MBOWE SASA
!

Mweshimiwa mbowe anasuffer au kupata tatizo la ki "psycholojia linaloitwa Anosognosia Ambayo imechangiwa na condition moja ya kisaikolojia inayoitwa Thanatophobia

NB:
Anosognosia huukataa ukweli hata kama anajua kuwa huo ndo ukweli na gacts haibadiliki.
Na
Thanatophobia ni kuogopa kuwapoteza watu wa karibu hasa unaowapenda.

Condition hizi mbili zimemfanya aje na mawazo ya kuomba serikali kulazimisha chanjo hiyo ili kuwaprotect watu wote anaowapenda ikiwemo ndugu zake wa karibU ili kuepusha maumivu anayoputia ya COVID19 (kwa kumsikiliza jana nimeelewa sio tu kweye kupata ugonjwa pia hata gharama za matibabu ni kubwa sana ambazo kwa wananchi wa chini ni vigumu kizimudu)

My take

Serikali ifuate sera ya WHO kuhusu kutoa taarifa kwa wananchi na watu wote kuhusu umuhimu wa chanjo watakazowachoma, ubora wa chanjo na usalama wake ikiwemo maudhi ya chanjo kabla ya kuanza kuwachoma wananchi na taarifa zake ziwe wazi itasaidia wananchi kuwa na imani na serikali yao kwa hili

Asante.

DR MAMBOSASA ASANTE


Link ya sera ya MANDATORY YA WHO.

 
Naunga mkono chanjo kuwa lazima duniani , vinginevyo nchi zote zinazofanya lockdown basi zifanye kuwa hiyari pia
Sio kwamba nakataa kuhusu chanjo ila kuifanya kuwa ya hiyari kutawapa wananchi moyo na kuondoa fikra potofu ila kulazimisha kutawafanya kutilia shaka uamuzi wa serikali
 
Naunga mkono chanjo kuwa lazima duniani , vinginevyo nchi zote zinazofanya lockdown basi zifanye kuwa hiyari pia
Lockdown ni moja ya njia za kwa ajili ya kupunguza maambukizi, sasa sisi Tanzania kwenye issue ya kupunguza maambukizi tumefeli katika hilo na serikali imesema kabisa kuwa haitotumia nguvu watu wajikinge wenyewe. Katika mazingira kama hayo hata ukifanya chanjo kuwa lazima ndio unadhani tutapata matokeo gani? tuna uwezo wa kuchoma chanjo kwa asilimia ngapi hata kama ikiwa lazima hadi tupate mafanikio ya chanjo?

Ni bora ingewekwa hiyo Lockdown ingeeleweka tunadhibiti maambukizi lakini unakwepa kuchukua hatua za kupunguza maambukizi au umefanya ni hiari na kuacha maambukizi yazidi kuendelea halafu unakimbilia chanjo(huku unajua hatuna uwezo wa kuwachoma watu wengi) na kufanya kuwa ni lazima ili iweje?
 
Mimi si mtu wa vyama vya siasa au muumini wake ila kwa alichoongea kaka yangu Mh freeman Mbowe sikiafiki moja kwa moja na wala sikipingi.
Jana akiwa mwanza Mh.Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA MH Freeman Aikael Mbowe, kimoja kati ya alivyozungumzia ni kuhusu Utolewaji wa chanjo ya Uviko (uambukizo wa virusi vya korona) almaarufu kama COVID19
Ntanukuu
"Serikali inasema Chanjo ya COVID-19 ni hiari ya Mtu, akatayependa ndiye apewe. Huu sio utaratibu wa WHO. Kwa wenzetu chanjo ni lazima, tunamuomba Mama Samia aweke utaratibu wa chanjo kuwa lazima na inapaswa itolewe kwa kila Mtu, huu ugonjwa unaua” alisema Mheshimiwa mwenyekiti Mbowe"

Siwezi ku " jaji" alichosema kwani ntakuwa naenda kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 (1 )na (2) na pia mbowe ana maumivu makali ya kupoteza wapendwa wake kwa COVID19

Lakini alichosema kuhusu WHO kufanya uchomaji wa chanjo hiyo kuwa lazima si kweli ila wameshauri kuhusu hilo.

Kilichosemwa na Mh Mbowe kinapingana moja kwa moja na Medical ethics ambacho Haimlazimu Healthcare Worker kumshurutisha mtu kupewa Dawa au matibabu bila ridhaa yake. Sasa shirika la afya dunia je limeruhusu kufanya hivyo....endelea kusoma .......

WHO WASEMAJE KUHUSU UCHOMAJI WA CHANJO YA COVID19 KUWA LAZIMA?(WHAT WHO SAID ABOUT MANDATORY COVID19 VACCINATION)

Who kupitia ukurasa wao mwaka 2021 mwezi wa 4 tarehe 13 walitoa Policy brief yaani maelezo kuhusu sera ya mandatory vaccination kama Kaka yangu akiweza akaipitie bado ipo pale kwenye tovuti yao sera hiyo ilikuwa inaitwa
"COVID-19 and mandatory vaccination: Ethical considerations and caveats Policy brief"
Ukisoma policy hiyo WHO wanaelezea kuhusu ulazima waliosema sio ulazima wa kisheria bali ni ulazima wa ki ethical yaani watu washawishiwe ili kila mmoja aweze kuchoma chanjo yake kwa uhuru na ndiyo maana ikaitwa hiari iliyo mandate ntanukuu kipengele cha sera hiyo, kwenye kipengele cha
"what does mandatory vaccination entails"

"Despite its name, ‘mandatory vaccination” is not truly compulsory, i.e., force or
threat of criminal sanction are not used in cases of non-compliance. It is therefore the kind of mandatory vaccination described at the beginning of this paragraph to which we refer in this document. Still, “mandatory vaccination” policies limit individual choice in non-trivial ways by making vaccination a condition of, for example, attending school or working in particular industries or settings, like health care. Such policies are not uncommon (2), although it should be noted that the World Health Organization (WHO) does not presently support the direction of mandates for COVID-19 vaccination, having argued that it is better to work on information campaigns and making vaccines accessible (4). In addition, WHO recently issued a position statement that national authorities and conveyance operators should not require COVID-19 vaccination as a condition of international travel (5).

Sasa kwa Tafsiri kutoka maneno ya hapo juu;

"Licha ya jina lake, 'chanjo ya lazima "sio lazima kiukweli, yaani, nguvu au tishio la adhabu ya jinai isitumike katika kesi za kutokufanya. Kwa hivyo ni aina ya chanjo ya lazima iliyoelezewa mwanzoni mwa aya hii ambayo tunarejelea hati hii. Bado, sera za "chanjo ya lazima" zinapunguza chaguo la mtu binafsi kwa kuweka njia ambazo lazma mtu kuzifanya , kwa mfano, kwenda shule au kufanya kazi katika tasnia au mipangilio, kama huduma ya afya. Sera kama hizo sio kawaida (2), ingawa inapaswa kuzingatiwa kuwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) haiungi mkono mwelekeo wa mamlaka za chanjo ya COVID-19, Na shirik linaona bora kufanya kazi katika kutangaza kwenye kampeni za habari (Kuhusu umuhimu wa chanjo) na kufanya chanjo kupatikana mda wote (4). Kwa kuongeza, WHO hivi karibuni ilitoa taarifa ya msimamo kwamba mamlaka ya kitaifa na Waendeshaji wa usafirishaji hawapaswi kuifanya chanjo ya COVID-19 kama kigezo cha kusafiri kimataifa(5)".

Hapo juu ndio msimamo halisi wa WHO kuhusu Chanjo ya COVID19 Kutokuwa ya lazima kwa mchomaji na ukisoma sera hiyo shirika hilo limeendelea kusema kuwa mchomaji anatakiwa awe na uhakika kamilifu kuhusu usalama wake juu ya chanjo hiyo na ubora wake..

KWA WALE WANAOIHITAJI SERA HII NAACHA LINK MWISHO WA THREAD HII

NINI TATIZO LA MHESHIMIWA MBOWE SASA
!

Mweshimiwa mbowe anasuffer au kupata tatizo la ki "psycholojia linaloitwa Anosognosia Ambayo imechangiwa na condition moja ya kisaikolojia inayoitwa Thanatophobia

NB:
Anosognosia huukataa ukweli hata kama anajua kuwa huo ndo ukweli na gacts haibadiliki.
Na
Thanatophobia ni kuogopa kuwapoteza watu wa karibu hasa unaowapenda.

Condition hizi mbili zimemfanya aje na mawazo ya kuomba serikali kulazimisha chanjo hiyo ili kuwaprotect watu wote anaowapenda ikiwemo ndugu zake wa karibU ili kuepusha maumivu anayoputia ya COVID19 (kwa kumsikiliza jana nimeelewa sio tu kweye kupata ugonjwa pia hata gharama za matibabu ni kubwa sana ambazo kwa wananchi wa chini ni vigumu kizimudu)

My take

Kwanza,Mbowe anahitaji watu wa psychology kuweza kurudi katika hali yake ilivyokuwa kwani anajaribu kuzuia "Grieving" ya misiba aliyopitia hii itamjengea chuki na kuona kila mtu atakayepinga maoni yake ni mbaya

Pili,Serikali ifuate sera ya WHO kuhusu kutoa taarifa kwa wananchi na watu wote kuhusu umuhimu wa chanjo watakazowachoma,ubora wa chanjo na usalama wake ikiwemo maudhi ya chanjo kabla ya kuanza kuwachoma

Asante.

DR MAMBOSASA ASANTE



Link ya sera ya MANDATORY YA WHO.


Mkuu nisiache kukupa na hii pia ikikupendeza:

IMG_20210719_183108_460.jpg


Tuna watu wajinga ambao pia wako brainwashed hasa tokea serikali ya awamu ile kuhusiana na huu ugonjwa. Tunaibadilisha vipi mitizamo yao kuhusu huu ugonjwa na hii chanjo huku watu wakiendelea kufa?

Kumbuka hadi hivi sasa serikali ingali haitoi takwimu kiasi kuwa hali ni njema au mbaya vipi wapi nani ajuaye?

Viva Museveni, viva Kagame. Maisha ya watu hayawezi kuwekwa hatarini kwa kuendekeza wajinga au wapumbavu. Kwa hao mamwamba kutumia nguvu ni sehemu ya mchezo.

Maisha ya watu hayawezi kuwekwa hatarini kwa kuwakumbatia wajinga au wapumbavu bila kujali ni wangapi. Huo ni utaratibu wa kawaida tu wa natural justice.

Kwetu leo babu wa Loliondo ana kikombe cha kutibu Corona na mamlaka zipo zinamwangalia. Hii haiwezi kutokea popote mbinguni, akhera wala duniani.

What a disgrace!

Bado tunajiona tuko vizuri?
 
Mkuu nisiache kukupa na hii pia ikikupendeza:

View attachment 1860762

Tuna watu wajinga ambao pia wako brainwashed hasa tokea serikali ya awamu ile kuhusiana na huu ugonjwa. Tunaibadilisha vipi mitizamo yao kuhusu huu ugonjwa na hii chanjo huku watu wakiendelea kufa?

Kumbuka hadi hivi sasa serikali ingali haitoi takwimu kiasi kuwa hali ni njema au mbaya vipi wapi nani ajuaye?

Viva Museveni, viva Kagame. Maisha ya watu hayawezi kuwekwa hatarini kwa kuendekeza wajinga na wapumbavu. Kwa hao mamwamba kutumia nguvu ni sehemu ya mchezo.

Maisha ya watu hayawezi kuwekwa hatarini kwa kuwakumbatia wajinga au wapumbavu wakiwa wengi au wachache. Huo ni utaratibu wa kawaida tu palipo na natural justice.

Kwetu leo babu wa Loliondo ana kikombe cha kutibu Corona na mamlaka zipo zinamwangalia. Hii haiwezi kutokea popote mbinguni, akhera wala duniani.

What a disgrace!

Bado tunajiona tuko vizuri?
Sikupingi na ndo maana mwanzo nimesema sipingi moja kwa moja mawazo yake na sikubaliani nayo moja kwa moja...
Ila kutumia Chombo kikubwa kama WHO kuhadaa wananchi ndo kitu ambacho sikutaka kukifumbia macho asante
 
Well said, and concrete facts
Lockdown ni moja ya njia za kwa ajili ya kupunguza maambukizi, sasa sisi Tanzania kwenye issue ya kupunguza maambukizi tumefeli katika hilo na serikali imesema kabisa kuwa haitotumia nguvu watu wajikinge wenyewe. Katika mazingira kama hayo hata ukifanya chanjo kuwa lazima ndio unadhani tutapata matokeo gani? tuna uwezo wa kuchoma chanjo kwa asilimia ngapi hata kama ikiwa lazima hadi tupate mafanikio ya chanjo?

Ni bora ingewekwa hiyo Lockdown ingeeleweka tunadhibiti maambukizi lakini unakwepa kuchukua hatua za kupunguza maambukizi au umefanya ni hiari na kuacha maambukizi yazidi kuendelea halafu unakimbilia chanjo(huku unajua hatuna uwezo wa kuwachoma watu wengi) na kufanya kuwa ni lazima ili iweje?
 
Sikupingi na ndo maana mwanzo nimesema sipingi moja kwa moja mawazo yake na sikubaliani nayo moja kwa moja...
Ila kutumia Chombo kikubwa kama WHO kuhadaa wananchi ndo kitu ambacho sikutaka kukifumbia macho asante

Nisiache pia kukupa msingi zaidi hoja ambazo hatupaswi kufumbia macho kinafiki:

1. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi akanyamaza kama walivyo nyamaza wenye kutuaminisha ugonjwa haupo na watu hawafi.
2. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi kuacha kuirejea sayansi ya chanjo inayohitaji ulazima wa idadi kubwa ya watu kuchanjwa kabla ya chanjo kuwa na manufaa kwa jamii.
3. Wote serikali na wenye uelewa wanafahamu ugonjwa upo na unauwa ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).
4. Wote serikali na wenye uelewa wa sayansi ya chanjo wanaelewa ni lazima threshold inayotakiwa ichanjwe kwa jamii kunufaika na chanjo ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).

Kwa hali hii kama Mbowe anahitaji msaada wa kisaikolojia basi ni labda "kwa kutokuwa mbinafsi."

Wewe huoni hivyo?
 
Nisiache pia kukupa msingi zaidi hoja ambazo hatupaswi kufumbia macho kinafiki:

1. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi akanyamaza kama walivyo nyamaza wenye kutuaminisha ugonjwa haupo na watu hawafi.
2. Mbowe angeweza kuwa mbinafsi kuacha kuirejea sayansi ya chanjo inayohitaji ulazima wa idadi kubwa ya watu kuchanjwa kabla ya chanjo kuwa na manufaa kwa jamii.
3. Wote serikali na wenye uelewa wanafahamu ugonjwa upo na unauwa ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).
4. Wote serikali na wenye uelewa wa sayansi ya chanjo wanaelewa ni lazima threshold inayotakiwa ichanjwe kwa jamii kunufaika na chanjo ila wako kimya (ubinafsi mkubwa).

Kwa hali hii kama Mbowe anahitaji msaada wa kisaikolojia basi ni labda "kwa kutokuwa mbinafsi."

Wewe huoni hivyo?
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu hali ya kutokuwa 'mbinafsi" kwa mbowe kama ulivyoitamka na ieleweke kwamba siungi mkono jitihada za mtu yyte anayefumbia macho maambukizi haya iwe katika ueneaji wake,Kujikinga kwake na hata Utibabu wake nachoweza kusema ni kwamba tusichukulie ethics ya ki "medical" kuwa sawa na political kwanini.. Ukirejea policy ya WHO inasema wananchi wanapaswa kujiridhisha kwanza ni ipi hasa njia sahihi ya kufata aidha chanjo ipi wachome na ipi ni bora kwao (hapo ndo unapokuja uhiari wa chanjo) kwani ikileta madhara kwa muhusika na haikuwa hiari yake unapswa kuwa responsible kwa matokeo yatakayotokea

Pili je tunabajeti kiasi gani tanzania ya kuweza kuchanja watu wote bila kuwa na malalamiko kwa kumbukumbu zangu nakumbuka chanjo cha HBV (Hepatitis B virus) ilipoanza kutolewa ilikuwa bure kwa Watumishi wa Afya na ikategemewa Tanzania nzima itachomwa bure mwisho wa siku ilishindikana kuchomwa kwa wananchi bure na kuanza kuuzwa kwa kila chanjo moja

Tatu mimi naamini kabisa kama mtanzania ukimwelimisha kuhusu madhara ya kupata COVD hasara ya Matibabu ya kupoteza pesa kwa matibabu na hata kuhusu kifo usipochanjwa tutachanjwa.

Nne mimi naamini kwamba kama tukiondoshewa tulichokuwa tunaamini hapo kabla ambacho tuliambiwa na baadhi ya wanasiasa na viongozi ambavyo ni myths kuhusu chanjo na kupewa elimu ya chanjo HAKUNA ATAKAYEBISHA KUCHOMWA KULIKO NA WATU WATACHOMWA KWA HIARI KULIKO KULAZIMISHA KITU AMBACHO HUJKITOLEA ELIMU KWANZA
 
Yaani linapokuja suala la siasa halafu haya ma-pseudo scientists yanaibuka kuhalalisha propaganda

Kwenye status ya "pandemic" kila mtu ni threat kwa mwenzake ndio maana ni inapewa status ya mandatory

Hata kipindi cha Stalin huko soviet union kulikua na pseudo sientists kama wewe kusukuma propaganda za dikteta

Kipindi cha Magufuli kulikua na ma-scientists wa uongo hapa TZ wanasukuma propaganda za dikteta

Yaani Magufulism.....this is a problem
Nafikiri pitia tena hujanielewa andiko langu
 
Nakubaliana na wewe kabisa kuhusu hali ya kutokuwa 'mbinafsi" kwa mbowe kama ulivyoitamka na ieleweke kwamba siungi mkono jitihada za mtu yyte anayefumbia macho maambukizi haya iwe katika ueneaji wake,Kujikinga kwake na hata Utibabu wake nachoweza kusema ni kwamba tusichukulie ethics ya ki "medical" kuwa sawa na political kwanini.. Ukirejea policy ya WHO inasema wananchi wanapaswa kujiridhisha kwanza ni ipi hasa njia sahihi ya kufata aidha chanjo ipi wachome na ipi ni bora kwao (hapo ndo unapokuja uhiari wa chanjo) kwani ikileta madhara kwa muhusika na haikuwa hiari yake unapswa kuwa responsible kwa matokeo yatakayotokea

Pili je tunabajeti kiasi gani tanzania ya kuweza kuchanja watu wote bila kuwa na malalamiko kwa kumbukumbu zangu nakumbuka chanjo cha HBV (Hepatitis B virus) ilipoanza kutolewa ilikuwa bure kwa Watumishi wa Afya na ikategemewa Tanzania nzima itachomwa bure mwisho wa siku ilishindikana kuchomwa kwa wananchi bure na kuanza kuuzwa kwa kila chanjo moja

Tatu mimi naamini kabisa kama mtanzania ukimwelimisha kuhusu madhara ya kupata COVD hasara ya Matibabu ya kupoteza pesa kwa matibabu na hata kuhusu kifo usipochanjwa tutachanjwa.

Nne mimi naamini kwamba kama tukiondoshewa tulichokuwa tunaamini hapo kabla ambacho tuliambiwa na baadhi ya wanasiasa na viongozi ambavyo ni myths kuhusu chanjo na kupewa elimu ya chanjo HAKUNA ATAKAYEBISHA KUCHOMWA KULIKO NA WATU WATACHOMWA KWA HIARI KULIKO KULAZIMISHA KITU AMBACHO HUJKITOLEA ELIMU KWANZA

Ni jambo la msingi kuwa unauona ujasiri na kutokuwepo kwa chembe ya ubinafsi kutokea kwa bwana Mbowe.

Mbowe angeweza kunyamaza kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa kama walivyonyamaza na hata kupotosha kwa maslahi yao.

Wanasema funika kombe mwana kharam apite.

Unaonaje basi ungeirejelea mada yako teba kufanya marekebisho stahiki hasa kwenye:

1. Kichwa cha habari:

Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

Nadhani utakubaliana nami hiki kichwa si sahihi kwani Mbowe ni jasiri wala si mbinafsi kama tulivyokubaliana?

2. Hitimisho:

"Kwanza, Mbowe anahitaji watu wa psychology kuweza kurudi katika hali yake ilivyokuwa kwani anajaribu kuzuia "Grieving" ya misiba aliyopitia hii itamjengea chuki na kuona kila mtu atakayepinga maoni yake ni mbaya.

Nadhani hii nayo si sahihi kwani pia tumekubaliana kwenye ujasiri na selflessness ya huyu bwana.
------------+

Tuanzie hapo kwanza. Au wewe unaona je?

Mwongozo wako tafadhali.
 
Ni jambo la msingi kuwa unauona ujasiri na kutokuwepo kwa chembe ya ubinafsi kutokea kwa bwana Mbowe.

Mbowe angeweza kunyamaza kwa maslahi yake binafsi ya kisiasa kama walivyonyamaza na hata kupotosha kwa maslahi yao.

Wanasema funika kombe mwana kharam apite.

Unaonaje basi ungeirejelea mada yako teba kufanya marekebisho stahiki hasa kwenye:

1. Kichwa cha habari:

Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

Nadhani utakubaliana nami hiki kichwa si sahihi kwani Mbowe ni jasiri wala si mbinafsi kama tulivyokubaliana?

2. Hitimisho:

"Kwanza, Mbowe anahitaji watu wa psychology kuweza kurudi katika hali yake ilivyokuwa kwani anajaribu kuzuia "Grieving" ya misiba aliyopitia hii itamjengea chuki na kuona kila mtu atakayepinga maoni yake ni mbaya.

Nadhani hii nayo si sahihi kwani pia tumekubaliana kwenye ujasiri na selflessness ya huyu bwana.
------------+

Tuanzie hapo kwanza. Au wewe unaona je?

Mwongozo wako tafadhali.
Naunga mkono hoja ila pia ni muhimu kuona wataalamu wa kisaikolojia kwani anachopitia sio chepesi kama tunavyogikiria
 
Naunga mkono hoja ila pia ni muhimu kuona wataalamu wa kisaikolojia kwani anachopitia sio chepesi kama tunavyogikiria

Mkuu, hili jambo si jepesi kama unavyotaka kulimaliza. Ninadhani kwa Sababu umekubali wewe mwenyewe kuwa:

1. Kichwa cha habari yako:

Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

Hakiko sahihi.

2. Sehemu ya hitimisho lako kuwa:

"Kwanza, Mbowe anahitaji watu wa psychology kuweza kurudi katika hali yake ilivyokuwa kwani anajaribu kuzuia "Grieving" ya misiba aliyopitia hii itamjengea chuki na kuona kila mtu atakayepinga maoni yake ni mbaya.

Nayo kuwa haiko sahihi, kwa usahihi wa rejea:

A. Tuwaombe Moderator kufanya marekebisho stahiki kwenye kichwa?

B. Wewe uirejee sehemu husika kwenye hitimisho lako kufanya marekebisho stahiki?

Mwongozo wako tafadhali kwa hatua zaidi.

Cc: BAK, Mshana Jr Erythrocyte Missile of the Nation Moderator
 
Mkuu, hili jambo si jepesi kama unavyotaka kulimaliza. Ninadhani kwa Sababu umekubali wewe mwenyewe kuwa:

1. Kichwa cha habari yako:

Njia za kutatua "Psychological Distress" anayopitia Freeman Mbowe na taifa kwa ujumla

Hakiko sahihi.

2. Sehemu ya hitimisho lako kuwa:

"Kwanza, Mbowe anahitaji watu wa psychology kuweza kurudi katika hali yake ilivyokuwa kwani anajaribu kuzuia "Grieving" ya misiba aliyopitia hii itamjengea chuki na kuona kila mtu atakayepinga maoni yake ni mbaya.

Nayo kuwa haiko sahihi, kwa usahihi wa rejea:

A. Tuwaombe Moderator kufanya marekebisho stahiki kwenye kichwa?

B. Wewe uirejee sehemu husika kwenye hitimisho lako kufanya marekebisho stahiki?

Mwongozo wako tafadhali kwa hatua zaidi.

Cc: BAK, Mshana Jr Erythrocyte Missile of the Nation Moderator
Shukrani sana mkuu nimekusoma sana na kwa kuwa nimefunzwa acountability nimekwisha badilisha sehemu yenye ukakasi na kichwa cha habari ntasubiri kwa moderator wakibadilishe
 
Shukrani sana mkuu nimekusoma sana na kwa kuwa nimefunzwa acountability nimekwisha badilisha sehemu yenye ukakasi na kichwa cha habari ntasubiri kwa moderator wakibadilishe

Uungwana ni kitu cha bure na upotoshaji si maungwana.

Ninakupongeza kwa kuwa muwazi na kuwa tayari kuwajibika. Siasa kitu gani hata kuwatoa watu wasio na hatia kafara?

Ni uovu mbaya usiokuwa na kipimo kuyatumia maisha ya watu kufanyia siasa tena katika mazingira yanayopelekea vifo vyao, wao kwa kutokujua.

Ni nini wajibu wa wanataaluma, wasomi, wanaharakati, viongozi wa dini au wenye dhamana serikalini wanaoendelea kufumbia macho hali hii? Ni ubinafsi wa kiwango gani huo?

Ieleweke kuwa siku moja, jina moja moja kutoka katika orodha ya wahanga wote litasomwa mbele yao kwa ajili ya kuwajibika:

 
Mimi si mtu wa vyama vya siasa au muumini wake ila kwa alichoongea kaka yangu Mh freeman Mbowe sikiafiki moja kwa moja na wala sikipingi.

Jana akiwa mwanza Mh.Mwenyekiti wa Chama cha CHADEMA MH Freeman Aikael Mbowe, kimoja kati ya alivyozungumzia ni kuhusu Utolewaji wa chanjo ya Uviko (uambukizo wa virusi vya korona) almaarufu kama COVID19

Ntanukuu:

"Serikali inasema Chanjo ya COVID-19 ni hiari ya Mtu, akatayependa ndiye apewe. Huu sio utaratibu wa WHO. Kwa wenzetu chanjo ni lazima, tunamuomba Mama Samia aweke utaratibu wa chanjo kuwa lazima na inapaswa itolewe kwa kila Mtu, huu ugonjwa unaua” alisema Mheshimiwa mwenyekiti Mbowe"

Siwezi ku " jaji" alichosema kwani ntakuwa naenda kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 18 (1 )na (2) na pia mbowe ana maumivu makali ya kupoteza wapendwa wake kwa COVID19

Lakini alichosema kuhusu WHO kufanya uchomaji wa chanjo hiyo kuwa lazima si kweli ila wameshauri kuhusu hilo.

Kilichosemwa na Mh Mbowe kinapingana moja kwa moja na Medical ethics ambacho Haimlazimu Healthcare Worker kumshurutisha mtu kupewa Dawa au matibabu bila ridhaa yake. Sasa shirika la afya dunia je limeruhusu kufanya hivyo....endelea kusoma .......

WHO WASEMAJE KUHUSU UCHOMAJI WA CHANJO YA COVID19 KUWA LAZIMA?(WHAT WHO SAID ABOUT MANDATORY COVID19 VACCINATION)

Who kupitia ukurasa wao mwaka 2021 mwezi wa 4 tarehe 13 walitoa Policy brief yaani maelezo kuhusu sera ya mandatory vaccination kama Kaka yangu akiweza akaipitie bado ipo pale kwenye tovuti yao sera hiyo ilikuwa inaitwa

"COVID-19 and mandatory vaccination: Ethical considerations and caveats Policy brief"

Ukisoma policy hiyo WHO wanaelezea kuhusu ulazima waliosema sio ulazima wa kisheria bali ni ulazima wa ki ethical yaani watu washawishiwe ili kila mmoja aweze kuchoma chanjo yake kwa uhuru na ndiyo maana ikaitwa hiari iliyo mandate ntanukuu kipengele cha sera hiyo, kwenye kipengele cha "what does mandatory vaccination entails"

"Despite its name, ‘mandatory vaccination” is not truly compulsory, i.e., force or
threat of criminal sanction are not used in cases of non-compliance. It is therefore the kind of mandatory vaccination described at the beginning of this paragraph to which we refer in this document. Still, “mandatory vaccination” policies limit individual choice in non-trivial ways by making vaccination a condition of, for example, attending school or working in particular industries or settings, like health care. Such policies are not uncommon (2), although it should be noted that the World Health Organization (WHO) does not presently support the direction of mandates for COVID-19 vaccination, having argued that it is better to work on information campaigns and making vaccines accessible (4). In addition, WHO recently issued a position statement that national authorities and conveyance operators should not require COVID-19 vaccination as a condition of international travel (5).

Sasa kwa Tafsiri kutoka maneno ya hapo juu;

"Licha ya jina lake, 'chanjo ya lazima "sio lazima kiukweli, yaani, nguvu au tishio la adhabu ya jinai isitumike katika kesi za kutokufanya. Kwa hivyo ni aina ya chanjo ya lazima iliyoelezewa mwanzoni mwa aya hii ambayo tunarejelea hati hii. Bado, sera za "chanjo ya lazima" zinapunguza chaguo la mtu binafsi kwa kuweka njia ambazo lazma mtu kuzifanya , kwa mfano, kwenda shule au kufanya kazi katika tasnia au mipangilio, kama huduma ya afya. Sera kama hizo sio kawaida (2), ingawa inapaswa kuzingatiwa kuwa Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) haiungi mkono mwelekeo wa mamlaka za chanjo ya COVID-19, Na shirik linaona bora kufanya kazi katika kutangaza kwenye kampeni za habari (Kuhusu umuhimu wa chanjo) na kufanya chanjo kupatikana mda wote (4). Kwa kuongeza, WHO hivi karibuni ilitoa taarifa ya msimamo kwamba mamlaka ya kitaifa na Waendeshaji wa usafirishaji hawapaswi kuifanya chanjo ya COVID-19 kama kigezo cha kusafiri kimataifa(5)".

Hapo juu ndio msimamo halisi wa WHO kuhusu Chanjo ya COVID19 Kutokuwa ya lazima kwa mchomaji na ukisoma sera hiyo shirika hilo limeendelea kusema kuwa mchomaji anatakiwa awe na uhakika kamilifu kuhusu usalama wake juu ya chanjo hiyo na ubora wake..

KWA WALE WANAOIHITAJI SERA HII NAACHA LINK MWISHO WA THREAD HII

NINI TATIZO LA MHESHIMIWA MBOWE SASA
!

Mweshimiwa mbowe anasuffer au kupata tatizo la ki "psycholojia linaloitwa Anosognosia Ambayo imechangiwa na condition moja ya kisaikolojia inayoitwa Thanatophobia

NB:
Anosognosia huukataa ukweli hata kama anajua kuwa huo ndo ukweli na gacts haibadiliki.
Na
Thanatophobia ni kuogopa kuwapoteza watu wa karibu hasa unaowapenda.

Condition hizi mbili zimemfanya aje na mawazo ya kuomba serikali kulazimisha chanjo hiyo ili kuwaprotect watu wote anaowapenda ikiwemo ndugu zake wa karibU ili kuepusha maumivu anayoputia ya COVID19 (kwa kumsikiliza jana nimeelewa sio tu kweye kupata ugonjwa pia hata gharama za matibabu ni kubwa sana ambazo kwa wananchi wa chini ni vigumu kizimudu)

My take

Serikali ifuate sera ya WHO kuhusu kutoa taarifa kwa wananchi na watu wote kuhusu umuhimu wa chanjo watakazowachoma, ubora wa chanjo na usalama wake ikiwemo maudhi ya chanjo kabla ya kuanza kuwachoma wananchi na taarifa zake ziwe wazi itasaidia wananchi kuwa na imani na serikali yao kwa hili

Asante.

DR MAMBOSASA ASANTE


Link ya sera ya MANDATORY YA WHO.

Corona siyo hatari kiasi hicho eti eh!


But under the law, children must be immunized against 10 serious communicable diseases – diphtheria, Haemophilus influenzae Type B (bacterial meningitis), measles, mumps, pertussis (whooping cough), polio, rubella, tetanus, hepatitis B and chicken pox – if they want to attend public or private schools and child care

Vaccination zote ni MUST MUST MUST
 
Corona siyo hatari kiasi hicho eti eh!


But under the law, children must be immunized against 10 serious communicable diseases – diphtheria, Haemophilus influenzae Type B (bacterial meningitis), measles, mumps, pertussis (whooping cough), polio, rubella, tetanus, hepatitis B and chicken pox – if they want to attend public or private schools and child care

Vaccination zote ni MUST MUST MUST
Mkuu sheria ya EPI (Extended program for immunisation) ndo unayozungumzia hiyo kwamba magonjwa yake 10 Lazima mtoto achanjwe na sheria hiyo ilitoka katika sera iliyotungwa na WHO nimekupa sera mpya kuhusu Mandatory brief ya chanjo corona nakuomba view hiyo link hapo chukua sera uangalia WHO wamesema hawaungi mkono kumlazimisha mtu kuchanjwa ila wangependa wote wapewe elimu ili wachanjwe..Sijaona sheria inayolazmisha na sheria zote kumbuka zinatokana na sera
Asante
 
Corona siyo hatari kiasi hicho eti eh!


But under the law, children must be immunized against 10 serious communicable diseases – diphtheria, Haemophilus influenzae Type B (bacterial meningitis), measles, mumps, pertussis (whooping cough), polio, rubella, tetanus, hepatitis B and chicken pox – if they want to attend public or private schools and child care

Vaccination zote ni MUST MUST MUST
Law ipi mkuu hebu niambie inayosema kuhusu corona
 
Law ipi mkuu hebu niambie inayosema kuhusu corona
Nimeanzia pale kuwa corona siyo hatari eti eh! ili uchambue uelewe magonjwa hatari yalitungiwa sheria. Na hata kabla hayo hayajatungiwa sheria kulikuwa na kelele kama hizi hadi sheria ikatungwa.
Je tungoje hadi corona itungiwe sheria kwa sababu siyo hatari?
Kwa nini sheria inatungwa tutaweza kuanzia hapo ukipenda!
 
Nimeanzia pale kuwa corona siyo hatari eti eh! ili uchambue uelewe magonjwa hatari yalitungiwa sheria. Na hata kabla hayo hayajatungiwa sheria kulikuwa na kelele kama hizi hadi sheria ikatungwa.
Je tungoje hadi corona itungiwe sheria kwa sababu siyo hatari?
Kwa nini sheria inatungwa tutaweza kuanzia hapo ukipenda!
Ngoja ntakuanzia na sera kabisa uelewe...
Tatitzo lolote likitokea kijamii sanasana katika afya linalohusu magonjwa huendeshwa kwa mujibu wa sheria ya Afya ya umma (PUBLIC Health act ya mwaka 2009)
Ukiweza kaipitie ....
Kuna ngazi zakufuata kuhusu kupambana na magonjwa kama gonjwa litakuwa likikuwa kwa kasi namaanisha its epidemic then turns to Pandemic Lazima information imfikie chief medical officer (CMO) kuhusu Hatari ya ugonjwa huo na kwa maoni yake ataunda tume ya wataalamu kuchunguza ikiwemo na kuunda sera ya kupambana na ugonjwa huo ,financially na kitaaluma sera itakayotungwa itasaidia kutengeneza sheria na kanuni kuhusu ugonjwa huo na prevention yake....

Sasa nakurudisha kwa corona:

Corona imeanza world wide na since WHO walitangaza kuwa ni Janga wao ndo walipaswa kutunga sera kuhusu kupambna na ugonjwa huo kwa kuwa WHO ni shirika la dunia sera yake huwa kama sheria mama kwa sera tutakazozitunga hazitakiwi kwenda kinyume na sera yao..(kama unavyozungumzia katiba ya nchi na sheria za nchi yetu....(sheria hata ikiwa ya umuhimu kiasi gani haiwezi kuwa kinyume na katiba)

Na hapo ndipo unapokuja kutofautisha kati ya SIASA na Taaluma Au na afya
Nafikir utakuwa umenielewa ndugu yangu
 
Back
Top Bottom