Njia za kutoa pete iliyokwama kwenye kidole kilichovimba

Njia za kutoa pete iliyokwama kwenye kidole kilichovimba

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kwa wale wanaovaa Pete iwe dhahabu au silver au shaba ukijiskia kuitoa halafu ikagoma unaanza kuchanganyikiwa relax usipanic ni hatari lakini ni salama kama iliingia lazima kuna namna ya kuitoa. Na Mara nyingi Pete kugoma husababishwa nakuilazimisha Pete ndogo, au kuivaa Kwa muda mrefu Hatimaye kidole chako kukua sasa ikigoma kutoka Fanya yafuatayo.

1.izungushe zungushe huku ukiivuta ila usiilazimishe sana huenda ukasababisha kidole kuvimba zaidi.

2.tumia vilainishi kama vile mafuta ya kula, ya kupata, lotion, ky gel, ya nazi, samli n. K

3.ili kupunguza kuvimba Kwa kidole jaribu kukiloweka kwenye maji ya barid Kwa dakika kumi kisha endelea kukipaka kilainishi na jaribu kuitoa.

4.technique ya mwisho ni kwenda tu kuikata Kwa masonara Wana kifaa maalumu wanaikata bila kuumia kidole.

Kama kijanja wewe shtuka vaa Pete saizi yako. Uzi tayari ndo huo kama ifuatavyo
 

Attachments

  • DSC_0083.JPG
    DSC_0083.JPG
    2.6 MB · Views: 8
Mimi niliacha kuvaa pete ya ndoa baada ya kukumbana na changamoto kama hiyo ingawa haikuwa kubwa kwa kiwango hicho.

Nikivaa kidole kilikuwa kinaniuma, nikaona cha kufia nini wakati ndoa sio pete bali patano la mwilini na rohoni baina ya me na ke.
 
Mimi nilivaa petee tu siku ya harusi siku iliyofata niliona kama adhabu nikavua matokeo yake nikiamka wife kanivalisha licha ya kutoa sababu ilinilazimu nikaitupe tu na tunapendana kama.kawida yeye ndo Huwa anavaa Hivi karibuni ameomba ninunue nyingine na nimemnunulia.
 
Mimi nilivaa petee tu siku ya harusi siku iliyofata niliona kama adhabu nikavua matokeo yake nikiamka wife kanivalisha licha ya kutoa sababu ilinilazimu nikaitupe tu na tunapendana kama.kawida yeye ndo Huwa anavaa Hivi karibuni ameomba ninunue nyingine na nimemnunulia.
ukifa mke wako ataolewa mkuu
 
Back
Top Bottom