Pre GE2025 Njia zimebaki mbili tu kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Njia zimebaki mbili tu kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Gentleman,
hakuna marekebisho yoyote yanatakiwa hapo,
uchaguzi ni jambo la waTanzania wote wanaostahili kupiga kura.

na kwahiyo,
october mwaka huu 2025, waTanzania wote wenye sifa na vigezo stahiki vya kikatiba watashiriki uchaguzi mkuu bila kujali makelele au mayowe ya matapeli na vibaka wowote wa kisiasa nchini :NoGodNo:
Hata mrukeruke kama maharage kwenye sufuria wkt wa kuchemka,mtalainika tu!
 
Hata mrukeruke kama maharage kwenye sufuria wkt wa kuchemka,mtalainika tu!
na uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu, salama na amani.

hakuna kibaka au tapeli atakaevumiliwa kuleta chachocho za kindezi kujaribu kuvuruga uchaguzi,

atadhibitiwa ipasavyo na ambae ni kaidi na kiburi, atafyekelewa mabali bila mbambamba yoyote na bila kucheleweshwa hata sekunde moja :NoGodNo:
 
Ninasema CCM kuitoa ni ngumu
Chenye mwanzo kina mwisho. Ukisoma historia ya dunia kulikuwa kuna falme kubwa na zenye nguvu sana duniani lakini zilianguka. Inaweza isiwe 2025 kama mtajiweka madarakani kwa mlango wa nyuma lakini ukweli ni kwamba mwisho wenu unakaribia
 
Back
Top Bottom