Pre GE2025 Njia zimebaki mbili tu kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hata mrukeruke kama maharage kwenye sufuria wkt wa kuchemka,mtalainika tu!
 
Hata mrukeruke kama maharage kwenye sufuria wkt wa kuchemka,mtalainika tu!
na uchaguzi utafanyika kwa amani na utulivu, salama na amani.

hakuna kibaka au tapeli atakaevumiliwa kuleta chachocho za kindezi kujaribu kuvuruga uchaguzi,

atadhibitiwa ipasavyo na ambae ni kaidi na kiburi, atafyekelewa mabali bila mbambamba yoyote na bila kucheleweshwa hata sekunde moja
 
Ninasema CCM kuitoa ni ngumu
Chenye mwanzo kina mwisho. Ukisoma historia ya dunia kulikuwa kuna falme kubwa na zenye nguvu sana duniani lakini zilianguka. Inaweza isiwe 2025 kama mtajiweka madarakani kwa mlango wa nyuma lakini ukweli ni kwamba mwisho wenu unakaribia
 
CDM shikilieni hapo hapo hadi haki ya Mpiga kura irudi na iheshimiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…