Njia zipi nzuri ya kujiimarisha kiuchumi kwa waajiriwa?

Njia zipi nzuri ya kujiimarisha kiuchumi kwa waajiriwa?

Aaliyyah

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2022
Posts
19,041
Reaction score
46,239
Natumain wazima?

Kama kichwa cha habari kilivyo. Maisha yanahitaji akili ichangamke na kujituma hakuna janja janja,Kwa mlioajiriwa muda mwingi ofisi zinawahitaji muhudimie na Kwa muda sahihi ulioangwa.Mnawezaje na mnatumia mbinu gani kuweza kubalance mambo na mkakua kiuchumi na kazi zikaenda sawa sawa zaidi kilimo na biashara

Natamni nifahamu zaidi mfano umeamua kujishughulisha na kilimo namna mnaendesha na mnasimamia hivo vitu na mkawin Kwa uwiano mzuri bila kuathiri kazi?

Kwenye biashara pia mnamanage vipi kuzisimamia na mnatumia mbinu ipi zinaenda sawa hata mda mmebanwa na majukumu?

Tunaomba mshare experience
Natanguliza shukrani🙏
 
Biashara ya magari...wewe unakabidhi ufunguo asubuhi kabla ya kwenda kazini...hesabu unafanya ukirudi jioni baada ya kazi
 
Habari sophy27 ukiwa mwajiriwa na ukitaka kuongeza kipato unaweza kufanya mojawapo
I. Kufanya biashara ya vitu ambavyo ni rahisi kuhesabika mfano kuuza cement, kuuza bidhaa zilizo kwenye vifungashio vikubwa.
ii.Kama Una access ya kiasi kikubwa Cha pesa unaweza kuwekeza kwenye bond au real estate.
 
Natumain wazima?

Kama kichwa cha habari kilivyo. Maisha yanahitaji akili ichangamke na kujituma hakuna janja janja,Kwa mlioajiriwa muda mwingi ofisi zinawahitaji muhudimie na Kwa muda sahihi ulioangwa.Mnawezaje na mnatumia mbinu gani kuweza kubalance mambo na mkakua kiuchumi na kazi zikaenda sawa sawa zaidi kilimo na biashara

Natamni nifahamu zaidi mfano umeamua kujishughulisha na kilimo namna mnaendesha na mnasimamia hivo vitu na mkawin Kwa uwiano mzuri bila kuathiri kazi?

Kwenye biashara pia mnamanage vipi kuzisimamia na mnatumia mbinu ipi zinaenda sawa hata mda mmebanwa na majukumu?

Tunaomba mshare experience
Natanguliza shukrani🙏
lazma utafute watu wa kufanya nao kaz kama ni biashara ndgu
 
Grocery,nafaka..saloon..usafirishaji..mobile money n.k

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari sophy27 ukiwa mwajiriwa na ukitaka kuongeza kipato unaweza kufanya mojawapo
I. Kufanya biashara ya vitu ambavyo ni rahisi kuhesabika mfano kuuza cement, kuuza bidhaa zilizo kwenye vifungashio vikubwa.
ii.Kama Una access ya kiasi kikubwa Cha pesa unaweza kuwekeza kwenye bond au real estate.
Asante sana
 
1. Mazao
2. Grocery (muwekee mkeo asimamie)-- Kama ni mama wa nyumbani.
3. Real estate- biashara ya viwanja, kupangisha
4. Kilimo na ufugaji
 
1. Mazao
2. Grocery (muwekee mkeo asimamie)-- Kama ni mama wa nyumbani.
3. Real estate- biashara ya viwanja, kupangisha
4. Kilimo na ufugaji
Asante Mimi ni ke mkuu
 
Unajua kila jambo Ni kujitoa kwa mfano unapofanya biashara ya duka mm nadhano ni jbo lakuajiri mtu akuuzie ila ww utatakiwa kila unapotoka kazini unapitia dukani kufunga hesabu lakini jambo la muhimu ni kumuamini mfanyakazi wako maana sio kila utakuwa na mda ,,,,au unaweza kuwekeza kwenye biashara za mda mrefu kama kuweka pesa kweny mazao ambayo utanunua kipindi cha mavuno na kuyauza bei ikipanda ,,,,pia unaweza ukawa unanunua hisa mbalimbali au kuweka pesa zako kwenye akaunt maalumu fixed ikiwa unaogopa kufirisika au kula hasara
 
Unajua kila jambo Ni kujitoa kwa mfano unapofanya biashara ya duka mm nadhano ni jbo lakuajiri mtu akuuzie ila ww utatakiwa kila unapotoka kazini unapitia dukani kufunga hesabu lakini jambo la muhimu ni kumuamini mfanyakazi wako maana sio kila utakuwa na mda ,,,,au unaweza kuwekeza kwenye biashara za mda mrefu kama kuweka pesa kweny mazao ambayo utanunua kipindi cha mavuno na kuyauza bei ikipanda ,,,,pia unaweza ukawa unanunua hisa mbalimbali au kuweka pesa zako kwenye akaunt maalumu fixed ikiwa unaogopa kufirisika au kula hasara
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom