Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kuchoma mmoja mmoja watahama wenyeweWakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
msipofikiri ushirikina wa Bongo hamna Furaha!Wakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
Kama walihamia bila ridhaa yako na haujui walikotoka, hao ni wa kuokota ni ridhiki Mungu kakupatia watafune!Wakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
Kwako Kuna amani, furaha na upendo was dhatiWakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
😍Ni mazingira salama kwa maisha yao,ndio maana wamepachagua kwako na sio nyumba zngne,endelea kuishi vizuri na watu,scenario hiyo haina tafsiri mbaya;njiwa hana shida,wenye shida ni sisi binadamu, kuwa na amani Mkuu...
Du aisee hao viumbe wanamasharti sanaKama walihamia bila ridhaa yako na haujui walikotoka, hao ni wa kuokota ni ridhiki Mungu kakupatia watafune!
Kama haujawahi kufuga hao viumbe, wana masharti ya ajabu ajabu katika kuwatunza na hata kuwachinja kwake.
Wakiona damu ya mwenzao inamwagika mbele yao, basi makazi hayo kwao yapo mashakani, wanahama kwa mkupuo na kwenda kuishi mbali ambapo hautawafikia ukiwatafuta na nadhani walikuja kwako kwa mtindo huo.
Ukitaka kuchinja lazima uwachinje kwa pair, yaani dume na jike, hawataki habari ya ujane ama ugane!
Sasa kashakuja kuwasengenya huku JF kwahiyo hawakuti tenanjiwa hawapendi masengenyi na ugomvi ukiwasengenya wanahama wote
Mzee umeshindwa kusindikiza uzi na kapicha kabisa? mbona kama unajisahau.Wakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula