ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukovaa Tshirt ya CCM umewakosa. Wana masharti sana hao jamaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukovaa Tshirt ya CCM umewakosa. Wana masharti sana hao jamaa.
HahahaUkivaa Tshirt ya CCM umewakosa. Wana masharti sana hao jamaa.
Da mi waliniita mla njwa.Njiwa ni viumbe wa AMANI....
Njiwa hukaa na kuishi penye UTULIVU ,UPENDO na MLO.....
Ukiona wametulia hapo kwako ujue pamejaa BARAKA......
Endelea kuwalisha utazidi "KUFUNGULIWA"......
#MfugaNjiwa
#Yetzer-ha-tov
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha wazaliane sana , wakishakuwa wengi wataondoka wote kwa pamoja.
😂😂Ukivaa Tshirt ya CCM umewakosa. Wana masharti sana hao jamaa.
Dah! Kweli upele humpata asiye na kucha! Yaani Allah amekuletea kitoweo chenye vitamini ya kutosha mwilini, halafu wewe unakuja kuuliza majibu badala ya maswali!Wakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
Kula mboga hiyo.Wakuu naombeni majibu.Inafaa kuwakaanga na kula
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukivaa Tshirt ya CCM umewakosa. Wana masharti sana hao jamaa.
Katika nyama nisizozihitaji kabisa ni nyama ya bata!
Kweli kabisa, kuna dada aliwafuga wakawa wengi, akasafiri kama miezi 3 akawaachia mlinzi na nduguze wawalishe, wakawa wanawasimanga njiwa wale wanakula Sana, wanakunya ovyo, wanapiga kelele. Aisee walihama, walirudi mmoja mmoja baada ya Yule sister kurudi!njiwa hawapendi masengenyi na ugomvi ukiwasengenya wanahama wote