Njombe: 75% Wanawake gerezani wameua waume zao

Njombe: 75% Wanawake gerezani wameua waume zao

The Sunk Cost Fallacy 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2022
Posts
9,436
Reaction score
10,944
Habari ndugu!

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geophrey Pinda, leo Jumanne, bungeni jijini Dodoma amesema si wanaume pekee wanaoua wenza wao kwani hata baadhi ya wanawake hufanya hivyo hususani mkoani Njombe ambapo wamebaini asilimia 75 ya wanawake walioko katika gereza la mkoa huo wanatuhuma za mauaji ya waume zao.

NJOMBE.png


----
Kwa wale mnaotaka Kuoa huko Njombe chukua tahadhari hasa kama wewe ni mchepukaji basi usipende huko maana watu Wana wivu na hasira Kali ,wako radhi kukosa wote au mgawane nyumba za serikali..
 
Nna jamaa yangu alishawashiwa taa nyekundu mapema akaniomba ushauri lakini naona kaamua kukomaa, yule shemeji yangu ana wivu, hasira ,kiburi sijawahi kuona. Uchumba tu mwanamke tayari alikua keshamkalia kichwani. Ikifika Saa 1 usiku hajarudi home simu zinaita akipokea ni kufokewa na mwamba anafyata.
 
Nna jamaa yangu alishawashiwa taa nyekundu mapema akaniomba ushauri lakini naona kaamua kukomaa, yule shemeji yangu ana wivu, hasira ,kiburi sijawahi kuona. Uchumba tu mwanamke tayari alikua keshamkalia kichwani. Ikifika Saa 1 usiku hajarudi home simu zinaita akipokea ni kufokewa na mwamba anafyata.
Huyo bwege nazi
 
Back
Top Bottom