Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Ndio kashapenda hana namna, kuna siku huyo shem aliniambia rafiki yako akija kumuacha atamloga, sikuwahi mwambia jamaa maana jamaa aambilikiHuyo bwege nazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kashapenda hana namna, kuna siku huyo shem aliniambia rafiki yako akija kumuacha atamloga, sikuwahi mwambia jamaa maana jamaa aambilikiHuyo bwege nazi
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah jamaa angeenda kukusemea tena 😀😀😀😀Ndio kashapenda hana namna, kuna siku huyo shem aliniambia rafiki yako akija kumuacha atamloga, sikuwahi mwambia jamaa maana jamaa aambiliki
Ni chafu Kwa wanawake mbumbumbu wa huko kwenu sio NjombeJidanganye tu, hii namba chafu
Wametulia ila ukikiuka makubaliano hiyo reaction watasimulia vizazi vyenuSio kwamba wao wametulia, alafu wana ulokole mwingi sana hawa watu.
Njombe nimewakaza sana wakati niko GangilongaNi chafu Kwa wanawake mbumbumbu wa huko kwenu sio Njombe
😂 huyu jamaa alikua rafiki mzuri sana ila kuna baadhi ya mambo nilikua nikishea nae nayasikia kwa mkewe nikaona tayari kashalogwa. Kuna siku nikatoka nae imefika mda wa saa 3 hatujarudi akanipigia simu anafoka anasema "kama vipi laleni huko kabisa", nikamwambia kua na adabu hayo mambo mwambie jamaa yako sio mimi, nikakata simu. Jamaa alilalamika sana ila mwishoe akaniaga aondoke anaogopa maana hali ishakuwa mbaya na hapo atanuniwa hata wiki.🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah jamaa angeenda kukusemea tena 😀😀😀😀
Wametulia wapi hao ni maji mara moja kama maharage ya mbeya, nimekuwa nao kadhaa na hakuna hata mmoja niliewahi kustruggle kumpata sijui kwasababu niliwazidi kimo.Wametulia ila ukikiuka makubaliano hiyo reaction watasimulia vizazi vyenu
Na akaamua kuoaNna jamaa yangu alishawashiwa taa nyekundu mapema akaniomba ushauri lakini naona kaamua kukomaa, yule shemeji yangu ana wivu, hasira ,kiburi sijawahi kuona. Uchumba tu mwanamke tayari alikua keshamkalia kichwani. Ikifika Saa 1 usiku hajarudi home simu zinaita akipokea ni kufokewa na mwamba anafyata.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ujanja maana unamuua juha
KayngayHao wamepiga tabia za wachaga maana wanamuingiliano na usikute hao ni wachaga wanaishi njombe ndo wapo gerezani😂😂😂..Makatili kinoma wao kwa wao wanaogopana