Njombe: 75% Wanawake gerezani wameua waume zao

Njombe: 75% Wanawake gerezani wameua waume zao

🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Hahahah jamaa angeenda kukusemea tena 😀😀😀😀
😂 huyu jamaa alikua rafiki mzuri sana ila kuna baadhi ya mambo nilikua nikishea nae nayasikia kwa mkewe nikaona tayari kashalogwa. Kuna siku nikatoka nae imefika mda wa saa 3 hatujarudi akanipigia simu anafoka anasema "kama vipi laleni huko kabisa", nikamwambia kua na adabu hayo mambo mwambie jamaa yako sio mimi, nikakata simu. Jamaa alilalamika sana ila mwishoe akaniaga aondoke anaogopa maana hali ishakuwa mbaya na hapo atanuniwa hata wiki.
 
Lakin bado women empowerment inaendelea kwa nguvu zote
 
Hao wamepiga tabia za wachaga maana wanamuingiliano na usikute hao ni wachaga wanaishi njombe ndo wapo gerezani😂😂😂..Makatili kinoma wao kwa wao wanaogopana
 
Nna jamaa yangu alishawashiwa taa nyekundu mapema akaniomba ushauri lakini naona kaamua kukomaa, yule shemeji yangu ana wivu, hasira ,kiburi sijawahi kuona. Uchumba tu mwanamke tayari alikua keshamkalia kichwani. Ikifika Saa 1 usiku hajarudi home simu zinaita akipokea ni kufokewa na mwamba anafyata.
Na akaamua kuoa
 
Back
Top Bottom