The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Nenda kichwa kichwa na Hilo bichwa lako wakakunyooshe,Njombe hakuna wanawake wapumbavu kama wa huko kwenuWachumba tu hao
Wao ndio watanyooka mapema sana.Nenda kichwa kichwa na Hilo bichwa lako wakakunyooshe,Njombe hakuna wanawake wapumbavu kama wa huko kwenu
Tofauti yao ni mwingine anaua kwaajili ya mapenzi mwingine anaua kwaajili ya Mali.Wamewapiku Wa-MACHAME a.k.a PALESTINA?
Lakini wote mnakua mmeshakufa?Tofauti yao ni mwingine anaua kwaajili ya mapenzi mwingine anaua kwaajili ya Mali.
Njombe hawaui kisa Mali,huku wanajua wenyewe kuzisaka hizo Mali.Wanaua nyie Kwa sababu yaani Mali msake wote afu uhamishie Kwa malaya wako? lazima wakunyoeTofauti yao ni mwingine anaua kwaajili ya mapenzi mwingine anaua kwaajili ya Mali.
Ujanja maana unamuua juhaSasa kuuwa ndio ujanja au ujuha
Sawa ila wanakuwa wamekunyoosha Ili next time uache umalayaWivu na watu wafupi ni ndugu wa tumbo moja
Huyo bwege naziNna jamaa yangu alishawashiwa taa nyekundu mapema akaniomba ushauri lakini naona kaamua kukomaa, yule shemeji yangu ana wivu, hasira ,kiburi sijawahi kuona. Uchumba tu mwanamke tayari alikua keshamkalia kichwani. Ikifika Saa 1 usiku hajarudi home simu zinaita akipokea ni kufokewa na mwamba anafyata.
Kabla ya wao kunyooka wewe utakuwa marehemu ndugu zako wanaombolezaWao ndio watanyooka mapema sana.
Sio kwamba wao wametulia, alafu wana ulokole mwingi sana hawa watu.Sawa ila wanakuwa wamekunyoosha Ili next time uache umalaya
Jidanganye tu, hii namba chafuKabla ya wao kunyooka wewe utakuwa marehemu ndugu zako wanaomboleza
πππKabla ya wao kunyooka wewe utakuwa marehemu ndugu zako wanaomboleza