Njombe: Afisa Kilimo ahukumiwa Kwenda jela Miaka 5 au Faini ya Tsh. Laki 5 kwa kuomba na Kupokea Rushwa ya Elfu Kumi

Mbinu hizi, mara nyingi zinatokana na ahadi.

Unamwambia mtu nipe kiasi fulani, anakujibu kwa wema tu, njoo kesho.

Halafu anaenda TAKUKURU anapewa hiyo pesa na wanaweka mtego.

Akikuletea hiyo pesa ukaipokea ndio kwisha.
inasikitisha sana kuisha kizembe namna hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…