kamdudu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2015 Posts 2,007 Reaction score 1,931 Dec 23, 2023 #21 Mpwimbe said: Mbinu hizi, mara nyingi zinatokana na ahadi. Unamwambia mtu nipe kiasi fulani, anakujibu kwa wema tu, njoo kesho. Halafu anaenda TAKUKURU anapewa hiyo pesa na wanaweka mtego. Akikuletea hiyo pesa ukaipokea ndio kwisha. Click to expand... inasikitisha sana kuisha kizembe namna hii
Mpwimbe said: Mbinu hizi, mara nyingi zinatokana na ahadi. Unamwambia mtu nipe kiasi fulani, anakujibu kwa wema tu, njoo kesho. Halafu anaenda TAKUKURU anapewa hiyo pesa na wanaweka mtego. Akikuletea hiyo pesa ukaipokea ndio kwisha. Click to expand... inasikitisha sana kuisha kizembe namna hii