kamdudu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2015
- 2,007
- 1,931
inasikitisha sana kuisha kizembe namna hiiMbinu hizi, mara nyingi zinatokana na ahadi.
Unamwambia mtu nipe kiasi fulani, anakujibu kwa wema tu, njoo kesho.
Halafu anaenda TAKUKURU anapewa hiyo pesa na wanaweka mtego.
Akikuletea hiyo pesa ukaipokea ndio kwisha.