TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Alikua mganga wa jadi bwashee ni maarufu Sana mkoani Njombe ila ni Aina ya wale waganga wanaojiganga maana alikua njema Sana kiuchumi na ana miradi kibao!
Miongoni mwa mambo yaliyoshangaza ni
  1. TRA walikwenda kumkagua wakitaka kodi, akawakaribisha kwenye viti na kuwapa nyaraka zake wazipitie, muda mfupi wote wakapitiwa usingizi mzito wakaja kuzinduka jioni, hawakutaka kumsikia tena wakaondoka.
  2. Alifuga nyuki chini ya Nissan yake kama walinzi.
  3. Inasadikika alipata kutumia nguvu ya jadi kumfanya mbaya kibaka pale Mnazimmoja Dar baada ya kumwibia mizigo yake
 
Hayo madirisha aliweka ya kazi gani kwenye kaburi, designer wake atufunguwe akili

View attachment 1840366
Mkuu,inasemekana kaburini kuna joto Kali sn.Kwa hiyo hayo madirisha ni Kwa ajili ya kupitisha hewa iingie ndani..Ila mm siyo designer wake

Kaburi nyumba ya milele,haina kupigiwa hodi wala haina kudaiwa kodi.Anatulia zake Safi kabisa huku hewa Safi na mwanga vikipita dirishani
 
Mkuu,inasemekana kaburini kuna joto Kali sn.Kwa hiyo hayo madirisha ni Kwa ajili ya kupitisha hewa iingie ndani..Ila mm siyo designer wake

Kaburi nyumba ya milele,haina kupigiwa hodi wala haina kudaiwa kodi.Anatulia zake Safi kabisa huku hewa Safi na mwanga vikipita dirishani
acha masikhara shekhe
😂😂😂
 
So story yake imeishia hapo.Anatukumbusha kwamba sisi ni Binadamu tuu. "Memento Homo".Tusije tukasahau,kwamba sisi ni binadamu tuu.Fedha na Dhahabu ni mali ya Bwana Full stop.

So hata lingekuwa kaburi la trilioni halina masaada wowote kwake kwa hapo alipofikia

Polen wafiwa wote na wote walioguswa
 
Ikumbukwe kuwa yeye si mtu wa kwanza kujijengea kaburi in advance, hilo jambo alijifunza kutoka kwa mzee Lutengano wa Mtwango, Mzee Lutengano aliwahi kuwa mkuluma maarufu miaka hiyo akimiliki tractor aina ya Ford iliyokuwa ikitumia kerosene na alidumu nayo kwa miaka mingi hadi late 80s, inasadikika kampuni ya Ford ilipata habari juu ya uwepo wa tractor hiyo kongwe kinyume na matarajio yao, hivyo kitendo cha kukitunza chombo hicho kwa miaka mingi na hata kuipa kampuni hiyo sifa kuwa inatengeneza vitu imara, kiliwafanya watengenezaji wa Ford kumpa zawadi.
Mkuu kumbe yule mzee unampata daaa wewe utakua Mtwango unapapata vema,
Yule mzee alikua maarufu Sana enzi zile Hadi akajijengea kaburi lake lipo pale njiani Kama unaenda Mtwango Secondary mkono wa kushoto Barabara ya Makambako_ Songea !
 
Miongoni mwa mambo yaliyoshangaza ni
  1. TRA walikwenda kumkagua wakitaka kodi, akawakaribisha kwenye viti na kuwapa nyaraka zake wazipitie, muda mfupi wote wakapitiwa usingizi mzito wakaja kuzinduka jioni, hawakutaka kumsikia tena wakaondoka.
  2. Alifuga nyuki chini ya Nissan yake kama walinzi.
  3. Inasadikika alipata kutumia nguvu ya jadi kumfanya mbaya kibaka pale Mnazimmoja Dar baada ya kumwibia mizigo yake
heeheee huyu mzee alikua na heshima zake hapa nchini wasukuma wa Ubaruku mbarali Mbeya hawatamsahau alikua anawatetea Sana kwenye migogoro yao maana ndio walikua wateja zake wakubwa!
 
At a Mimi nimeshangaa labda ndani kaweka gold

Hahaha labda tumpe benefit of doubt kwamba ni bilioni moja ya zimbabwe.

ZD.JPG
 
Back
Top Bottom