TANZIA Njombe: Anthony Mwandulami Afariki Dunia. Alijijengea kaburi la mamilioni ya shilingi

Jamaa alikuwa kajisahau akawa anapanga mipango yake taratibu wakati maandiko yanasema hivi,"maana ninyi wenyewe mnajua yakini yakuwa siku ya Bwana yaja kama vile mwivi ajavyo usiku".1Wathesolanike 5:2...
Alijisahau vipi ikiwa alitambua kuna kifo na IPO siku yeye pia atakufa na kuamua kujijengea kaburi lake na wake zake watatu. Ni Nani Kati yako na yeye ambaye amejisahau?
 

Mwanaye nilisoma naye naye alifariki kwa upenzi siku hiyo simba ilishinda akaenda kulala kwenye reli pale yombo
 
Mganga wa jadi ndio Doctor?
Acheni kudhihaki taaluma za watu
wewe aliekwambia title ya Dr mbaka usome nani hio hupewa mtu yeyote mwenye mchango katika jamii yake Kwa sababu yeye alikua kada ya tiba Asili ndio maana akaitwa hivyo ulitaka aitwaje Kwa mfano Kwa kidhungu?
😂😂😂
 
Kwahio hela ya ubwabwa nayo aliacha au tutachangishana?
mkuu ngoja nitakuletea mrejesho Kama ubwabwa wamechangia ila marehemu aliwekeza Sana kwenye kilimo Cha mpunga huko ubaruku mbarali district nahisi watabeba tu kwenye maghala yake ndugu zangu wa pale Mtwango wale wavimbiwe washushie Ulanzi na ughimbi murua!


Nadanganya wana Njombe?
 

Poleni sana...Hilo jumba halitamsaidia chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…