usikute kaipiga bei kajilipa ju-kwa-juKishkwambi
Ni iPad au Mchina?usikute kaipiga bei kajilipa ju-kwa-ju
sjajua kwa kweliNi iPad au Mchina?
Halafu wanasema Moshi ni waleviHahaha njombe kwa ulabu
Ni iPad au Mchina?
Wanatumia za ZTENani akununulie Ipad? Ipad ni gharama sana kama ilivyo kaa simu shirika za Iphone! Wamenunuliwa gadgets za kampuni nyingine tu kama samsung na tablets za makampuni ya kawaida. Ipad zinatoka kampuni ya kimarekani ya Apple. Anyway nimekuelewa, maana watu wakiona mtu ameshika tablet yoyote ile hukimbilia kuita ipad hata kama ni tablet ya samsung!
Nani akununulie Ipad? Ipad ni gharama sana kama ilivyo kaa simu shirika za Iphone! Wamenunuliwa gadgets za kampuni nyingine tu kama samsung na tablets za makampuni ya kawaida. Ipad zinatoka kampuni ya kimarekani ya Apple. Anyway nimekuelewa, maana watu wakiona mtu ameshika tablet yoyote ile hukimbilia kuita ipad hata kama ni tablet ya samsung!