JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,229
- 5,285
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Njombe. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Njombe una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6. Wabunge walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni
Njombe Kaskazini: Ndugu Joram Hongoli (CCM)
Njombe Kusini: Edward Mwalongo (CCM)
Makambako: Ndugu Deo Kasenytenbda Sanga (CCM)
Wanging'ombe: Nduguy Gerson Hosea Lwenge (CCM)
Ludewa: Uchaguzi Uliahirishwa baada ya Mbunge Deo Filikunjombe Kufariki.
Makete: Norman Adamson Sigalla (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Njombe. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Njombe una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6. Wabunge walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni
Njombe Kaskazini: Ndugu Joram Hongoli (CCM)
Njombe Kusini: Edward Mwalongo (CCM)
Makambako: Ndugu Deo Kasenytenbda Sanga (CCM)
Wanging'ombe: Nduguy Gerson Hosea Lwenge (CCM)
Ludewa: Uchaguzi Uliahirishwa baada ya Mbunge Deo Filikunjombe Kufariki.
Makete: Norman Adamson Sigalla (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.