Njombe - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

Njombe - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
Wakuu,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Njombe. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

Mkoa wa Njombe una jumla ya majimbo ya uchaguzi 6. Wabunge walioshinda kwenye hayo majimbo ambayo ni

Njombe Kaskazini:
Ndugu Joram Hongoli (CCM)

Njombe Kusini: Edward Mwalongo (CCM)

Makambako:
Ndugu Deo Kasenytenbda Sanga (CCM)

Wanging'ombe:
Nduguy Gerson Hosea Lwenge (CCM)

Ludewa: Uchaguzi Uliahirishwa baada ya Mbunge Deo Filikunjombe Kufariki.

Makete: Norman Adamson Sigalla (CCM)

ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
 
Inamaanisha njombe hakuna Mwana JF wakutupa updates???? Maana Uzi tangia upachikwe hakuna mchangiaji???
 
Kutoka 9jombe jimbo la makambako. Kituo cha Ikando. Hali ni shwarii kabisa watu wamepanga foleni toka saa 11. Wana hamasa kubwa ya kutekeleza haki yao ya kikatiba. Vijana ni wengi na wametulia wakisubiri kuchinja..........
 
Kutoka Njombe jimbo la makambako. Kituo cha Ikando. Hali ni shwarii kabisa watu wamepanga foleni toka saa 11. Wana hamasa kubwa ya kutekeleza haki yao ya kikatiba. Vijana ni wengi na wametulia wakisubiri kuchinja..........
 
Njombe kusin vip hakuna wadau waJF amken basi mtuletee updates maana kale kabibi hakajagombea safar hii.
 
kutoka jimbo la njombe kusini, kituo cha lunyanywi (hagafilo) hali ni shwari, watu wamejitokeza kupiga kura, wanaume ni wengi kuliko wanawake katika kituo hiki, labda baadaye wanawake watajitokeza. Mungu ibariki Tanzania.
 
Njombe Mjini kata 9 CHADEMA wanaongoza kwa nafasi zote tatu. Makete CCM inarun
 
Back
Top Bottom