Huyu bwana kweli hana skills za kuongea. Huongea ongea tu Mambo mambo yake kwa lugha ya kubabaisha Sana. Ni mchapa kazi lakini ajengewe speeching skills.Naona kama kamanda wa polisi anajifunza kuongea, sijaelewa elewa bado
hata mimi nmepata giza flani hiviNaona kama kamanda wa polisi anajifunza kuongea, sijaelewa elewa bado
Kaka na mdogo wake wanatofautiana umri kwa miaka 37!!
Nimetumia energy nyingi sana kuielewa hii habari ila juhudi zote zimeshindikana. Alieielewa hii taarifa naomba summary yake tafadhaliKijana, Isaack Kawogo(24) aliyempora Askari magereza silaha aina ya SMG Usigani mkoani Iringa ameuawa kwa kupigwa risasi na Polisi baada ya kumjeruhi kaka yake, Andres Kawogo(61) akimtuhumu kuuza mashamba na kushindwa kumtoa gerezani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamis Issah amesema tukio hilo limetokea Novemba 20, huko maeneo ya Chaugingi mjini Njombe.
Amesema Kawongo aliiba silaha na kuitumia kufanya uhalifu ambapo alifanya matukio kadhaa Mkoani Iringa ikiwemo kumshambulia Askari kwa panga hali iliyosababisha wafungwa wengine kutoroka.
“Hii ni silaha ambayo askari magereza wanaitumia katika ulinzi wa wafungwa hao sasa huyu kwakuwa ni mhalifu akawa anaitumia katika kufanya uhalifu,” Kamanda Issah.
Amesema silaha hiyo ilikuwa na risasi kumi lakini mpaka inakamatwa na askari ilikuwa imebakiwa na risasi mbili pekee huku risasi nane zikitumika kufanya ualifu maeneo tofauti ikiwemo tukio hilo lilotokea Mkoani Njombe la kumjeruhi kaka yake.
Amesema licha ya juhudi kufanyika za kutaka kuokoa maisha yake ili alieleze Jeshi la Polisi namna alivyoondoka na silaha lakini ilishindikana kwa kuwa umauti ulimfika.
” Ukimnyang’a askari silaha namna pekee ya kuipa hiyo silaha ni kwa kutumia silaha hivyo wanapaswa kuwa makini,” Kamanda Issah
Daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa ni kiboko! Nimecheka sanaKaka na mdogo wake wanatofautiana umri kwa miaka 37!!
Unataka kamanda wetu wawe na maneno mengi kama waimba mipasho? Their statements r simple n clear! Ukiishi kwa upanga, utakufa kwa upanga!Naona kama kamanda wa polisi anajifunza kuongea, sijaelewa elewa bado
Hili picha la kihindi mie sijalielewa kabisaHii habari labda mm pekee nimeshindwa kuielewa,
Yaan uwe mfungwa umpore Askari silaha umpige nayo mtu(hapa ni Kama tukio lililotekelezwa kwa haraka sana) sasa inakuaje kaenda kufanya nayo matukio mbali mbali na kutumia risasi zote7 wakati ni mfungwa?
Alafu et asingekufa angeeleza aliwezaje kutoka na silaha(hapa hakumpora mtu)
MbeyelaHahahaaaa....... Chaugingi!
Idundilanga!
Iyelevala!
Njombe bhana.
kaiba bunduki, katoroka gerezani akenda mtaani kufanya matukio ya uhalifu.Hii habari labda mm pekee nimeshindwa kuielewa,
Yaan uwe mfungwa umpore Askari silaha umpige nayo mtu(hapa ni Kama tukio lililotekelezwa kwa haraka sana) sasa inakuaje kaenda kufanya nayo matukio mbali mbali na kutumia risasi zote7 wakati ni mfungwa?
Alafu et asingekufa angeeleza aliwezaje kutoka na silaha(hapa hakumpora mtu)
Kumchinja Kobe Yataka TimingHuyo askari mpaka anaporwa hiyo silaha yeye alikuwa kalewa au
Bado napatwa na wasiwasi maana ukiwa na silaha unaambiwa hata kama ni chooni kunya ingia nazo hata askari mwenzio usimwamini kumwachia au ukiwa na silaha mtu akae mbali na wewe umbali wa mita moja na kuendelea sasa huyu soldier hadi mfungwa anaichukua bado sielewi elewiKumchinja Kobe Yataka Timing
Umeona eeeh.Hii habari labda mm pekee nimeshindwa kuielewa,
Yaan uwe mfungwa umpore Askari silaha umpige nayo mtu(hapa ni Kama tukio lililotekelezwa kwa haraka sana) sasa inakuaje kaenda kufanya nayo matukio mbali mbali na kutumia risasi zote7 wakati ni mfungwa?
Alafu et asingekufa angeeleza aliwezaje kutoka na silaha(hapa hakumpora mtu)
Hii story haina principles za uandishi KamaKijana, Isaack Kawogo(24) aliyempora Askari magereza silaha aina ya SMG Usigani mkoani Iringa ameuawa kwa kupigwa risasi na Polisi baada ya kumjeruhi kaka yake, Andres Kawogo(61) akimtuhumu kuuza mashamba na kushindwa kumtoa gerezani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamis Issah amesema tukio hilo limetokea Novemba 20, huko maeneo ya Chaugingi mjini Njombe.
Amesema Kawongo aliiba silaha na kuitumia kufanya uhalifu ambapo alifanya matukio kadhaa Mkoani Iringa ikiwemo kumshambulia Askari kwa panga hali iliyosababisha wafungwa wengine kutoroka.
“Hii ni silaha ambayo askari magereza wanaitumia katika ulinzi wa wafungwa hao sasa huyu kwakuwa ni mhalifu akawa anaitumia katika kufanya uhalifu,” Kamanda Issah.
Amesema silaha hiyo ilikuwa na risasi kumi lakini mpaka inakamatwa na askari ilikuwa imebakiwa na risasi mbili pekee huku risasi nane zikitumika kufanya ualifu maeneo tofauti ikiwemo tukio hilo lilotokea Mkoani Njombe la kumjeruhi kaka yake.
Amesema licha ya juhudi kufanyika za kutaka kuokoa maisha yake ili alieleze Jeshi la Polisi namna alivyoondoka na silaha lakini ilishindikana kwa kuwa umauti ulimfika.
” Ukimnyang’a askari silaha namna pekee ya kuipa hiyo silaha ni kwa kutumia silaha hivyo wanapaswa kuwa makini,” Kamanda Issah
Umenifanya nipige hesabu tofauti ya mimi na first born wetu. Inawezekana ndio familia zile za wake wengi, Mzee ana miaka 60 anaoa kadogodogo anaendelea kufyatuaKaka na mdogo wake wanatofautiana umri kwa miaka 37!!