Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
-Uongozi wa klabu ya Njombe Mji hautambui kama mchezo wao na klabu ya Simba Sc utachezwa April 03 katika dimba la Sabasaba mkoani Njombe.
-Uongozi wa klabu hiyo umedai haujapokea barua yoyote kutoka Bodi ya Ligi kama mchezo wao dhidi ya Simba Sc utachezwa April 03 ila wanashangaa kuona kwenye mitandao ya kijamii tu.
-Uongozi huo umedai hautakubali mchezo huo uchezwe siku jumanne ya April 03 kwani wao wanajua wana mechi ya Robo Fainali ya Asfc dhidi ya Stand United March 30 katika dimba la Ccm kambarage Shinyanga.
-Baada ya mchezo huo Njombe Mji wamedai hawatarudi Njombe kucheza mechi dhidi ya Simba Sc bali wataweka kambi huko huko Shinyanga kusubili mchezo wa Ligi kuu ya VPL dhidi ya Stand United tena April 08.
-Njombe mji wako tayari kutocheza mchezo huo dhidi ya Simba April 03 hata washushwe daraja sawa ila hawatakubali kunyanyaswa kwa sababu ya Simba Sc.
-Mchezo wa Njombe dhidi ya Simba ulikuwa uchezwe march 12 huko Njombe ila Bodi ya Ligi iliuairisha kwa sababu ya kuipa Simba muda wakutosha kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Caf Confederation Cup dhidi Al Marsy uliochezwa March 17 nchini Misri.
-Uongozi wa klabu hiyo umedai haujapokea barua yoyote kutoka Bodi ya Ligi kama mchezo wao dhidi ya Simba Sc utachezwa April 03 ila wanashangaa kuona kwenye mitandao ya kijamii tu.
-Uongozi huo umedai hautakubali mchezo huo uchezwe siku jumanne ya April 03 kwani wao wanajua wana mechi ya Robo Fainali ya Asfc dhidi ya Stand United March 30 katika dimba la Ccm kambarage Shinyanga.
-Baada ya mchezo huo Njombe Mji wamedai hawatarudi Njombe kucheza mechi dhidi ya Simba Sc bali wataweka kambi huko huko Shinyanga kusubili mchezo wa Ligi kuu ya VPL dhidi ya Stand United tena April 08.
-Njombe mji wako tayari kutocheza mchezo huo dhidi ya Simba April 03 hata washushwe daraja sawa ila hawatakubali kunyanyaswa kwa sababu ya Simba Sc.
-Mchezo wa Njombe dhidi ya Simba ulikuwa uchezwe march 12 huko Njombe ila Bodi ya Ligi iliuairisha kwa sababu ya kuipa Simba muda wakutosha kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Caf Confederation Cup dhidi Al Marsy uliochezwa March 17 nchini Misri.