BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Hukumu imetolewa katika Mahakama ya Wilaya ya Makete, dhidi ya Isaya Samwel Madoki ambaye ni mtumihsi wa Umma, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la wizi kinyume na kifungu cha 258(1) na 270 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu sura ya 16 mapitio ya 2019.
Mahakama imethibitisha kuwa mshtakiwa aliwasilisha Benki kiasi cha Tsh. 75,820,410 badala ya Tsh. 86,455,360 zilizokusanywa katika Kata za Ipelele, Kitulo, Mlondwe, Kinyika, Isapulano, lniho na Lupalilo, hivyo amebainika kuiba Tsh. 12,634,356, fedha za Halmashauri ya Makete.
Mbali na kifungo hicho, Hakimu Irvan Msacky aliyesikiliza kesi amemtaka mshtakiwa kurejesha fedha zote zilizoibiwa mara baada ya kumaliza muda wa kutumikia kifungo.
TAKUKURU NJOMBE
Mahakama imethibitisha kuwa mshtakiwa aliwasilisha Benki kiasi cha Tsh. 75,820,410 badala ya Tsh. 86,455,360 zilizokusanywa katika Kata za Ipelele, Kitulo, Mlondwe, Kinyika, Isapulano, lniho na Lupalilo, hivyo amebainika kuiba Tsh. 12,634,356, fedha za Halmashauri ya Makete.
Mbali na kifungo hicho, Hakimu Irvan Msacky aliyesikiliza kesi amemtaka mshtakiwa kurejesha fedha zote zilizoibiwa mara baada ya kumaliza muda wa kutumikia kifungo.
TAKUKURU NJOMBE