LGE2024 Njombe: Mwenyekiti wa CHADEMA, Rose Mayemba alivyoliamsha baada ya kubaini madudu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Njombe: Mwenyekiti wa CHADEMA, Rose Mayemba alivyoliamsha baada ya kubaini madudu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Njombe Rose Mayemba amedai kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana, Novemba 27.2024 nchini kote haukuwa uchaguzi kama ilivyodhaniwa badala yake ilikuwa ni oparesheni kuwashughulikia wapinzani nchini

Rose ameeleza hayo alipofanya mahojiano na Jambo TV mapema leo, Alhamisi Novemba 28.2024 ambapo amedai kuwa katika mkoa wa Njombe idadi kubwa ya mawakala waliondoshwa kwenye vituo vya kupigia kura wakati zoezi la upigaji kura lingali linaendelea, na wale waliokuwa wabishi kutoka walikuwa wakitolewa kwa nguvu na askari bila kupewa maelezo yoyote

Amesema baadhi ya mawakala walichelewa kuingia vituoni (kwenye vyumba vya kupigia kura) kutokana na kucheleweshwa kupata barua za utambulisho kutoka kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo ambao ni Wakurugenzi wa Halmashauri, huku baadhi ya maeneo yakitaarifiwa kuingizwa kura feki alizodai kuwa zimetumika kuwapa ushindi bandia Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ametolea mfano vurugu zilizoibuka jimbo la Njombe mjini, kata ya Mji mwema, mtaa wa Mji mwema kwenye kituo cha Msete ambapo yeye binafsi alipokea taarifa kuwa kuna njama zinaandaliwa kubadilisha matokeo ya kituo hicho kutokana na kile kilichoelezwa kuwa eneo hilo ni 'ngome' ya CHADEMA na ilikuwa vigumu kura feki kuingizwa kituoni hapo

Amedai walipoona njia ya kuingizwa kura feki imeshindikana ndipo wakaamua kubeba masanduku ya kura na kupeleka kwenye eneo wanalolijuwa wenyewe, wakati mpango huo mbaya unaandaliwa ndipo Rose Mayemba alipopata taarifa na kukimbilia eneo hilo, na kukuta kweli masanduku yanahamishwa kabla kura hazijahesabiwa

Anasema alipoona hivyo alihoji sababu inayopelekea kuondoa masanduku kituoni kabla kura hazijahesabiwa ndipo akajibiwa kuwa hayo ni maelekezo kutoka juu kuwa kura zote zikahesabiwe kwenye kituo cha majumuisho jambo ambalo hakukubaliananalo na katika majibizano hayo mwisho waliondosha masanduku hayo kwa nguvu

Ameendelea kudai kuwa katika kituo hicho idadi ya wapiga kura waliojitokeza ni ndogo hivyo masanduku ya kura hayakuwa na karatasi nyingi za kura lakini kwenye gari iliyopakiwa masanduku kulikuwa na masanduku mengine yaliyojaa kura.
 
CCm ni chama cha mashetani. Kuongozwa na chama hiki ni laana, ni kuifanya nchi nzima kuwa kwenye laana ya shetani!! Mungu wetu, tunaamini ni mwenye nguvu, tunaomba ingilia kati maana watu hawataki kuwa chini ya utawala wa shetani, lakini ni wanyonge mno kiasi cha kushindwa kufanya chochote dhidi ya chama hiki kilichojaa hila na nguvu ya shetani.
 
CCM WAMEBAKI NA POLICE NA BAADH YA WALIMU WAJINGA
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Njombe Rose Mayemba amedai kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana, Novemba 27.2024 nchini kote haukuwa uchaguzi kama ilivyodhaniwa badala yake ilikuwa ni oparesheni kuwashughulikia wapinzani nchini

Rose ameeleza hayo alipofanya mahojiano na Jambo TV mapema leo, Alhamisi Novemba 28.2024 ambapo amedai kuwa katika mkoa wa Njombe idadi kubwa ya mawakala waliondoshwa kwenye vituo vya kupigia kura wakati zoezi la upigaji kura lingali linaendelea, na wale waliokuwa wabishi kutoka walikuwa wakitolewa kwa nguvu na askari bila kupewa maelezo yoyote

Amesema baadhi ya mawakala walichelewa kuingia vituoni (kwenye vyumba vya kupigia kura) kutokana na kucheleweshwa kupata barua za utambulisho kutoka kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo ambao ni Wakurugenzi wa Halmashauri, huku baadhi ya maeneo yakitaarifiwa kuingizwa kura feki alizodai kuwa zimetumika kuwapa ushindi bandia Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ametolea mfano vurugu zilizoibuka jimbo la Njombe mjini, kata ya Mji mwema, mtaa wa Mji mwema kwenye kituo cha Msete ambapo yeye binafsi alipokea taarifa kuwa kuna njama zinaandaliwa kubadilisha matokeo ya kituo hicho kutokana na kile kilichoelezwa kuwa eneo hilo ni 'ngome' ya CHADEMA na ilikuwa vigumu kura feki kuingizwa kituoni hapo

Amedai walipoona njia ya kuingizwa kura feki imeshindikana ndipo wakaamua kubeba masanduku ya kura na kupeleka kwenye eneo wanalolijuwa wenyewe, wakati mpango huo mbaya unaandaliwa ndipo Rose Mayemba alipopata taarifa na kukimbilia eneo hilo, na kukuta kweli masanduku yanahamishwa kabla kura hazijahesabiwa

Anasema alipoona hivyo alihoji sababu inayopelekea kuondoa masanduku kituoni kabla kura hazijahesabiwa ndipo akajibiwa kuwa hayo ni maelekezo kutoka juu kuwa kura zote zikahesabiwe kwenye kituo cha majumuisho jambo ambalo hakukubaliananalo na katika majibizano hayo mwisho waliondosha masanduku hayo kwa nguvu

Ameendelea kudai kuwa katika kituo hicho idadi ya wapiga kura waliojitokeza ni ndogo hivyo masanduku ya kura hayakuwa na karatasi nyingi za kura lakini kwenye gari iliyopakiwa masanduku kulikuwa na masanduku mengine yaliyojaa kura.
Aibu tupu, Mungu ataamua tu hatima ya Tanzania.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Njombe Rose Mayemba amedai kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana, Novemba 27.2024 nchini kote haukuwa uchaguzi kama ilivyodhaniwa badala yake ilikuwa ni oparesheni kuwashughulikia wapinzani nchini

Rose ameeleza hayo alipofanya mahojiano na Jambo TV mapema leo, Alhamisi Novemba 28.2024 ambapo amedai kuwa katika mkoa wa Njombe idadi kubwa ya mawakala waliondoshwa kwenye vituo vya kupigia kura wakati zoezi la upigaji kura lingali linaendelea, na wale waliokuwa wabishi kutoka walikuwa wakitolewa kwa nguvu na askari bila kupewa maelezo yoyote

Amesema baadhi ya mawakala walichelewa kuingia vituoni (kwenye vyumba vya kupigia kura) kutokana na kucheleweshwa kupata barua za utambulisho kutoka kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo ambao ni Wakurugenzi wa Halmashauri, huku baadhi ya maeneo yakitaarifiwa kuingizwa kura feki alizodai kuwa zimetumika kuwapa ushindi bandia Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ametolea mfano vurugu zilizoibuka jimbo la Njombe mjini, kata ya Mji mwema, mtaa wa Mji mwema kwenye kituo cha Msete ambapo yeye binafsi alipokea taarifa kuwa kuna njama zinaandaliwa kubadilisha matokeo ya kituo hicho kutokana na kile kilichoelezwa kuwa eneo hilo ni 'ngome' ya CHADEMA na ilikuwa vigumu kura feki kuingizwa kituoni hapo

Amedai walipoona njia ya kuingizwa kura feki imeshindikana ndipo wakaamua kubeba masanduku ya kura na kupeleka kwenye eneo wanalolijuwa wenyewe, wakati mpango huo mbaya unaandaliwa ndipo Rose Mayemba alipopata taarifa na kukimbilia eneo hilo, na kukuta kweli masanduku yanahamishwa kabla kura hazijahesabiwa

Anasema alipoona hivyo alihoji sababu inayopelekea kuondoa masanduku kituoni kabla kura hazijahesabiwa ndipo akajibiwa kuwa hayo ni maelekezo kutoka juu kuwa kura zote zikahesabiwe kwenye kituo cha majumuisho jambo ambalo hakukubaliananalo na katika majibizano hayo mwisho waliondosha masanduku hayo kwa nguvu

Ameendelea kudai kuwa katika kituo hicho idadi ya wapiga kura waliojitokeza ni ndogo hivyo masanduku ya kura hayakuwa na karatasi nyingi za kura lakini kwenye gari iliyopakiwa masanduku kulikuwa na masanduku mengine yaliyojaa kura.
Kazi anayofanya Rose Mayemba imetukuka, Kafika hadi Ruhuhu hadi Manda, huko wananchi waliichukulia ccm kama dini
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani Njombe Rose Mayemba amedai kuwa uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika jana, Novemba 27.2024 nchini kote haukuwa uchaguzi kama ilivyodhaniwa badala yake ilikuwa ni oparesheni kuwashughulikia wapinzani nchini

Rose ameeleza hayo alipofanya mahojiano na Jambo TV mapema leo, Alhamisi Novemba 28.2024 ambapo amedai kuwa katika mkoa wa Njombe idadi kubwa ya mawakala waliondoshwa kwenye vituo vya kupigia kura wakati zoezi la upigaji kura lingali linaendelea, na wale waliokuwa wabishi kutoka walikuwa wakitolewa kwa nguvu na askari bila kupewa maelezo yoyote

Amesema baadhi ya mawakala walichelewa kuingia vituoni (kwenye vyumba vya kupigia kura) kutokana na kucheleweshwa kupata barua za utambulisho kutoka kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo ambao ni Wakurugenzi wa Halmashauri, huku baadhi ya maeneo yakitaarifiwa kuingizwa kura feki alizodai kuwa zimetumika kuwapa ushindi bandia Chama cha Mapinduzi (CCM)

Ametolea mfano vurugu zilizoibuka jimbo la Njombe mjini, kata ya Mji mwema, mtaa wa Mji mwema kwenye kituo cha Msete ambapo yeye binafsi alipokea taarifa kuwa kuna njama zinaandaliwa kubadilisha matokeo ya kituo hicho kutokana na kile kilichoelezwa kuwa eneo hilo ni 'ngome' ya CHADEMA na ilikuwa vigumu kura feki kuingizwa kituoni hapo

Amedai walipoona njia ya kuingizwa kura feki imeshindikana ndipo wakaamua kubeba masanduku ya kura na kupeleka kwenye eneo wanalolijuwa wenyewe, wakati mpango huo mbaya unaandaliwa ndipo Rose Mayemba alipopata taarifa na kukimbilia eneo hilo, na kukuta kweli masanduku yanahamishwa kabla kura hazijahesabiwa

Anasema alipoona hivyo alihoji sababu inayopelekea kuondoa masanduku kituoni kabla kura hazijahesabiwa ndipo akajibiwa kuwa hayo ni maelekezo kutoka juu kuwa kura zote zikahesabiwe kwenye kituo cha majumuisho jambo ambalo hakukubaliananalo na katika majibizano hayo mwisho waliondosha masanduku hayo kwa nguvu

Ameendelea kudai kuwa katika kituo hicho idadi ya wapiga kura waliojitokeza ni ndogo hivyo masanduku ya kura hayakuwa na karatasi nyingi za kura lakini kwenye gari iliyopakiwa masanduku kulikuwa na masanduku mengine yaliyojaa kura.
Viongozi wa chini wa chadema wanapambambana sana sema tamaa na ulegevu wa viongozi wa juu hasa mbowe na Lisu kugombaniana madaraka kunawaangusha
 
Ila hata huko CCM wenyewe wapo ambao haya mambo yamewasikitisha sana.
 
Imani ya waTanzania kwa CCM ni ya kiwango cha juu mno,

hakunaga mwanainchi anababaika na makelele ya waliokosa uelekeo 🐒
 
Back
Top Bottom