greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,328
- 3,955
Achana na pinga pinga fcSasa hapo unachobiisha ni nin mkuu?
Au labda alitaka wakute kichwa eti mzee hats wakikuta kishikizo cha shati tu wanakubeba ohoooSasa hapo unachobiisha ni nin mkuu?
Hapo ndipo watu wanapomshangaa Magufuli na uongo wa kupinga ufisadiHata Deo akishinda, nadhani ushindi wake utatenguliwa mahakamani kirahisi kwa sababu hana sifa ya kugombea ubunge in the first place.
Inashangaza sanaMpaka raha yani so smooth...
Polisi wala hawajatumia nguvu kubwa, wamefuatilia mawasiliano ya simu then wakawaokota mmoja baada ya mwingine chap.
Mpaka na mkanda wa marehemu kwenye gari yani kuonyesha jinsi wauaji walivyo malofa.
Kumbe yule aliyekuwa anamtishia ben saanane kwenye sms pia angeweza kupatikans kwa urahisi hivi?
Na ile gari aliyoitajaga lissu kuwa inamfuatilia ingeweza kupelekea watuhumiwa kujulikana ndani ya siku kadhaa?
Labda mikoa inapishana uwezo wa kiuchunguzi. Hongereni Njombe mko fit.
Ukiitwa mahakamani unaweza kuthibitisha?Mkuu huu ndio utaratibu,kwani nani hajui kuwa CHADEMA wamekuwa wakiendesha mipango ya mauaji kwa raia sema na wale wote wanao wahisi kuwa wanawapinga?
Hilo halipo mkuu, huo ndiyo ukweli mchungu.CHADEMA ikichukua nchi oktoba 28 italifuta jeshi la polisi , huu ujinga wa kuwanunua wagombea udiwani ulipangwa na kwamba wakikataa watapewa kesi yoyote , na hii imevuja tangu wiki 2 zilizopita eti leo ndio inatekelezwa ! Poor Polisi
Nothing lasts longerHilo halipo mkuu, huo ndiyo ukweli mchungu.
Kiongozi wenu amekiri kuwasiliana nae, amekiri mmoja wa kiongozi mwenzie aliwateka, na wakiwa pamoja mauaji kutendeka kwa kumtumia mr. Xy Goodlucky. Mlitaka jeshi la polisi liwasaidiaje zaidi ya kuwashikiria?Hivi chadema wanaishi mbiguni na CCM wanaishi duniani? Hapo mtafanya wananchi wanaojua kuhoji Kuna watu wasiamini hata kupewa Kura Sasa chadema ni watu na CCM ni watu hivyo ni ndugu, wameoleana na nimarafiki pia, sipendi siasa za hivyo kwanini Polepole aje aseme kwenye vyombo vya habari kwamba aliyeua ni chadema na kesi ichukuliwe hivyo? Na kwanini hakuacha uchunguzi ufanyike? Isije kuwa kuna watu wanaua wenzao ili kupata wanachotaka kupata kweli imebeba hasira na mtu unajifanya kuhuzunika hiyo siyo haki tena utakuta hata ndugu wanajua urafiki Au undugu wao.
Hivi katika ulimwengu wa sasa kuna mkanda wa mtu specific kweli. Mbona wamasai wanatutengenezea mikanda inayofanana. Lisiwe shinikizo la kale kazee kakijana ka juzSasa hapo unachobiisha ni nin mkuu?
Chadema saccos mchukue nchi ipi?. Hiko chama kama genge la wahuni, nani asiyejua uozo ulioko kule?. Bila shaka, chacha wangwe, saanane mtakuwa mnahusika. Oct 28,mtakula jeuri yenu.CHADEMA ikichukua nchi oktoba 28 italifuta jeshi la polisi , huu ujinga wa kuwanunua wagombea udiwani ulipangwa na kwamba wakikataa watapewa kesi yoyote , na hii imevuja tangu wiki 2 zilizopita eti leo ndio inatekelezwa ! Poor Polisi
Sasa mkuu vitu kama hivyo si vina pimwa, finger print.Hivi katika ulimwengu wa sasa kuna mkanda wa mtu specific kweli. Mbona wamasai wanatutengenezea mikanda inayofanana. Lisiwe shinikizo la kale kazee kakijana ka juz
Wale wapo under Magufuliz custody, hakuna anayeweza kuwagusaWale waliompiga Lissu vipi washakamatwa?