The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
NJOMBE: WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo ameliagiza Shirika la Taifa la Maendeleo (NDC) kukamilisha majadiliano na Mwekezaji wa Mradi wa Makaa ya Mawe Ketawaka Kampuni ya MM Steel Resource Public Ltd( MMSR) kufikia makubaliano ndani ya wiki tatu ili utekelezaji wa mradi huo uanze.
Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza shirika hilo kushirikiana na wadau wake mbalimbali katika mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma na Katewaka kujenga majengo mawili katika Shule ya Msingi Nkomang'ombe iliyopo katika maeneo ya miradi hiyo.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Jafo ametoa agizo hilo Februari 17, 2025 wakati wa ziara yake mkoani Njombe katika Wilaya ya Ludewa yenye lengo la kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi Mchuchuma na Ketawaka, Liganga na Maganga Matitu pamoja na kuongea na wananchi wa maeneo hayo.
Vilevile, Waziri Jafo ameliagiza shirika hilo kushirikiana na wadau wake mbalimbali katika mradi wa Makaa ya Mawe Mchuchuma na Katewaka kujenga majengo mawili katika Shule ya Msingi Nkomang'ombe iliyopo katika maeneo ya miradi hiyo.
Pia soma: Pre GE2025 Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Waziri Jafo ametoa agizo hilo Februari 17, 2025 wakati wa ziara yake mkoani Njombe katika Wilaya ya Ludewa yenye lengo la kukagua maendeleo ya utekelezaji wa Mradi Mchuchuma na Ketawaka, Liganga na Maganga Matitu pamoja na kuongea na wananchi wa maeneo hayo.