Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi.
Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga ubaguzi wa wanawake.
Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga ubaguzi wa wanawake.