Njoo hapa tulaani ubaguzi unafanya na wadada kuchuna, kutupiga mizinga baadhi wanaume

Njoo hapa tulaani ubaguzi unafanya na wadada kuchuna, kutupiga mizinga baadhi wanaume

ZAK ZAK

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2018
Posts
510
Reaction score
427
Wadada hasa Tanzania licha ya kusema Nchi ya kijamaa wanawake 95% ni wa baguzi sana kuna wanaume hawawachuni wala kuwapiga mizinga lakini wengine ambao weupe (handsome) tunachunwa mpaka basi.

Kama Marekani na Ulaya wameandamana kwanini tusianamane kupinga ubaguzi, nipo tayari kufa nikipinga ubaguzi wa wanawake.
 
Kunywa maji kwanza, vuta pumzi kisha achia...relax andika vizuri kilicho kusibu ndg[emoji848]
 
Kweli...tena sisi tulioowa tukichepuka tunapigwa mizinga kweli.
 
Ndio vichwa vya familia hivi[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Tafuta hela mkuu au yawe maandamano ya kutafuta hela
 
Wewe Ester wa Mbezi Kwa Msuguri, naona sasa imetosha. nimeshatuma nauli mara nne, tena ulisema kuna corona nikatuma ya Uber, lakini hukuwahi kutokea. Kabla ya hapo ulisema haujaseti nywele, nilituma pia. Naona sasa unanitafutia ugonjwa wa mawazo, sasa imetosha, ninakublock
unamoyo mzee siku ukikutana nae hakikisha anasema ai Kant blethe
 
Uhuru wako wa kujieleza unakandamizwa , hujaandamana uje kuandamana kisa kuchunwa na mwanamke uliyemfuata mwenyewe
 
Tunahonga sana
1286427_IMG-20150125-WA0002.jpg
 
Uhuru wako wa kujieleza unakandamizwa , hujaandamana uje kuandamana kisa kuchunwa na mwanamke uliyemfuata mwenyewe
Uhuru huo wakijieleza utanisaidia nini ? Niwe huru kujielewa kwa wanawake ili waendelee kunipiga mizinga,huu ni ubaguza zaidi ya ule wa marekani ni bora nibaguliwe na mzungu ambaye nimemfuata kwenye nchi kuliko kubagulia mwafrika mwenzangu ndani ya nchi yetu
 
Xenophobia in Tz ila mm wadada ni wema Sana kwangu sijawai kuombwa hela niseme tu ukweli
 
Maumivu ya kuachwa ni makali kuliko yakupigwa Mizinga... We tafakari tuu!
 
Unapigwa mizinga na kuachwa unachwa.unamtumia pesa kwenye simu mpaka na ya kutolea unamtumia, pesa iyo anaenda kuitumia lodge au gest na mtu mwingine. Huu ubaguzi ni bora hata angeniua kwa kunikandaminia na goti kama huko marekani.
 
Ukweli unauma mpaka huku jamiforum uminyaji wa uhuru wa maoni,haki, democrasia ya uzi thread yangu imeondolewa sina haki ya kuandika.kuna baadhi ya watu ndio wanahaki ku post wengine ni wachangiaji asante kuharibu thread zangu
 
Back
Top Bottom