unamoyo mzee siku ukikutana nae hakikisha anasema ai Kant bletheWewe Ester wa Mbezi Kwa Msuguri, naona sasa imetosha. nimeshatuma nauli mara nne, tena ulisema kuna corona nikatuma ya Uber, lakini hukuwahi kutokea. Kabla ya hapo ulisema haujaseti nywele, nilituma pia. Naona sasa unanitafutia ugonjwa wa mawazo, sasa imetosha, ninakublock
Uhuru huo wakijieleza utanisaidia nini ? Niwe huru kujielewa kwa wanawake ili waendelee kunipiga mizinga,huu ni ubaguza zaidi ya ule wa marekani ni bora nibaguliwe na mzungu ambaye nimemfuata kwenye nchi kuliko kubagulia mwafrika mwenzangu ndani ya nchi yetuUhuru wako wa kujieleza unakandamizwa , hujaandamana uje kuandamana kisa kuchunwa na mwanamke uliyemfuata mwenyewe
Uhuru wako wa kujieleza unakandamizwa , hujaandamana uje kuandamana kisa kuchunwa na mwanamke uliyemfuata mwenyewe