Njoo hapa unichane nambie ukweli nakosea wapi

Andika mambo ya maana uache utoto stori zako za kijinga jinga uache
 
Jifunze kuandika vizuri...maana unaandika kama hujapitia shule.. rekebisha mwandiko wako
 
Thread zako zisizokuwa na kichwa wala miguu ni za hovyooo ebu badirika au ni utoto labda ukikua utaacha
Bora umesema kwakweli, yaani imekuwa too much. Ukiingia tu jf unakutana na thread zake rundo, kila tukio linamtokea yeye tu humu duniani chaah!!! Yaani mpaka anachosha.
 
1.Dogo, kuna wakati unaleta mada nzuri sana, lakini unashindwa kuzielezea kwa kina.

2. Unapotoa thread upate muda mrefu wa kuitafakari kwa undani. Pia ukumbuke unaowaandikia wana uelewa mpana yawezekana zaidi yako hata ×3 zaidi yako.

3. Jipe muda wa kutoa thread mpya, sio leo unatoa thread 3 kwa siku moja!! Au siku mbili.
Ukijipa muda,utatoa thread iliyoshiba. Usiwe kama unapost mabango Fb au insta

Mengine utajiongezea mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…