Njoo mfahamu Mwifwa, kama humfahamu.

Basi sawa. Kama hako kwa avatar ni kapicha kako basi lazima ulikuwa na nyota ya kukojoa kitandani wallah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ndio mimi babu, nashangaa babu unashindwa kumtambua mjukuu wako.

Sikuwahi kuwa mkojozi ila nilkuwa nakojoa mwenye zile ndoto za kucheza na wenzangu.

Unajikuta unawaambia wenzio "Nisubirini nikojoe kwanza" halafu unaliachia kojo refu huku ukipush umalize fast ukaendelee na kucheza.

Ukimaliza tu kukojoa unatoka usingizini moja kwa moja. Kinachofuatia sasa na bi mkubwa ni siri yako....
 
Ulikiwa smart sana, ila tatizo masikio hayo itakuwa ulitaniwa sana na washikaji
Ni kweli kuhusu masikio niliwahi kutaniwa ila sio sana.

Kutaniwa nickname nimekuwa kinara kuanzia udogoni hadi jina la udogoni(huwa tunasema jina la nyumbani/kilugha, maana tunakuwa na jina lingine la shule/kidini) limekomaa hadi leo hii na naendelea kulitumia pindi niwapo kijijini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…