Njoo mfahamu Mwifwa, kama humfahamu.

Mkuu kama nakuona vile pale bweni la mapinduzi ukiwa unatoka kuoga pondi[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tena mida ya jioni hata assembly mtu hauendi. Lilikuwa bweni langu.

Nikizungukiaga lazima nifike nikasalimie madogo na kuwaonesha kitanda changu jinsi nilivyokimbizwa na kunguni hadi nikahamia class
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!

Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.

Eti masikio ya ushirika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umepatia tu kwenye urefu wa huyo dogo, mengine umekosa
Kuna siku nitakudukua ngoja nimalize pilikapilika za SADC
 
bado sio rahisi kumfahamu.
 
Joking tu mkuu

Mimi avatar yangu ndo hii mpaka nakufa

Mpaka siku swalehe anarithi hii id na yeye atamrithisha mwanae

Inshort id ya baba swalehe haitokuja kufa

Maana mi mwenyewe nmeirithi
Halafu nilikuona twitter mkuu, sijui ndio ni wewe...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…