Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Sasa kama sio Zombie tuambie anaitwa nani?Babu usinigombanishe na Mwifwa ๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama sio Zombie tuambie anaitwa nani?Babu usinigombanishe na Mwifwa ๐๐๐๐๐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kama nakuona vile pale bweni la mapinduzi ukiwa unatoka kuoga pondi[emoji23]
Nimeelewa kwenye picha tuuMm nakufahamu nakumbuka tulivyokula wote kuku pale maeneo ya DODOMA tukapanda zetu li vix la serikali mpaka kilimani.
Siimani hiyo avatar ni wewe kweli
Nina wivu na mm nimejiweka hapo nimekulipa.View attachment 1182241
[emoji28] [emoji28] [emoji28] Mkuu hayo masikio ni ya ushirika au !!!
Huyo dogo ni mrefu inaonekana ila wewe ni mfupi mnene mweusi, mwenye macho mekundu na midomo mikavu.
Joking tu mkuuNdio, Chief Administrator
Huyo mtoto wa Lampard.Mzee umeniona hapa [emoji28]View attachment 1182246
Kuna siku nitakudukua ngoja nimalize pilikapilika za SADC[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umepatia tu kwenye urefu wa huyo dogo, mengine umekosa
Baba Swalehe ni rafiki yangu sanaaaaaa. Stori yangu na yeye ni somo kubwa katika ulimwengu wa urafiki.Hivi wewe una undugu na Baba Swalehe ??
Mbona naona kama mna DNA zinazo match?
Nawashauri muoe mabinti wa Chattle ili nyota ya ukuu wa wilaya iwaangukie
Amina
Teh ...Huyo mtoto wa Lampard.
Pmj sana mzeeBaba Swalehe ni rafiki yangu sanaaaaaa. Stori yangu na yeye ni somo kubwa katika ulimwengu wa urafiki.
Kanisaidia sana nami nimemsaidia mno..
bado sio rahisi kumfahamu.Kwenye Avatar ni Mwifwa halisi/original.
Hapo alikuwa kidato cha kwanza Uboizini miaka kadhaa iliyopita.
Jee ukimuona kwa sasa ghafla utaweza kumtambua?
Daaahh, life bana linatupeleka puta sana hadi tunabadilika kiumbo(mnene/mwembamba), kisura, rangi(weupe, weusi, maji ya kunde n.k).
baba swalehe ww ni chelsee toka kitamboo eeenhMzee umeniona hapa [emoji28]View attachment 1182246
Halafu nilikuona twitter mkuu, sijui ndio ni wewe...Joking tu mkuu
Mimi avatar yangu ndo hii mpaka nakufa
Mpaka siku swalehe anarithi hii id na yeye atamrithisha mwanae
Inshort id ya baba swalehe haitokuja kufa
Maana mi mwenyewe nmeirithi