mwalimu_wa_IT
Member
- Nov 5, 2024
- 93
- 165
Mko poa kwenye jamii kuna changamoto nyingi sana zinabidi ziwe sort out kwa njia ya tech maana now tech inakua saana.
Sasa hapa kuna watu wa aina 2 mwenye uwezo wa kutengeneza mifumo ila hana ideas na .Kuna mwenye Idea ila hajui kutengeneza sasa lengo la huu ni kuwakutanisha hawa wote wawili .. tufanye kazi pamoja.. Mfano mimi najua kutengeneza ila ideas sina.. Trust me ili upate hela lazima utatue tatizo kwenye jamii Trust me Coding inalipa ukitengeneza kitu Kizuri. Karibuni
Sasa hapa kuna watu wa aina 2 mwenye uwezo wa kutengeneza mifumo ila hana ideas na .Kuna mwenye Idea ila hajui kutengeneza sasa lengo la huu ni kuwakutanisha hawa wote wawili .. tufanye kazi pamoja.. Mfano mimi najua kutengeneza ila ideas sina.. Trust me ili upate hela lazima utatue tatizo kwenye jamii Trust me Coding inalipa ukitengeneza kitu Kizuri. Karibuni