Njoo ni kutabilie mambo 5

Njoo ni kutabilie mambo 5

Nitabirie
Kwa hili jina uliloamua kutumia inaonyesha una nyota kali sana mpaka macho yangu yanashindwa kuitazama.

Itabidi nitumie kwa kutazama kiganja chako.

Itabidi uniambie mkoa uliopo na sehemu uliyopo ili tupange kukutana.
 
Hii ni namna mpya ya kutafuta comments kwenye uzi.
Kama ilivyo kwenye whatsapp na facebook kwamba ukigusa picha hiyo inabadilika rangi[emoji23][emoji23]
Mara ukikoment picha inakua hivi na vile[emoji23][emoji23][emoji23]

Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.

Naona mmesanuka
Anaishia kulike tu, hana lolote mtoa mada, nahisi anatafuta tu comments.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
040b511a1900fff5b45f6ef020c21770--protection-spells-book-of-shadows-protection.jpg
YASOME HAYA KWA TAHADHARI KUBWA LAKINI KWA KUNIA! KISHA NIPE MREJESHO BAADA YA SAA 48.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni aina mpya ya ufisadi iliyoanzishwa na CCM .
 
Mbona mkuu kaingia mitini mana nami nahitaji UTABIRI

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mabadiliko ya kiuchumi unataka kufany,kuepuka hasara omba ushauri kwa ndugu.

achana na kumbukumbu za mapenzi ya nyuma ni kikwazo kwa mahusiano mapya.

kesho ukikutana na mama kambeba mtoto asubuhi kuelekea hospital ni dalili ya kufanikiwa kwa mipango uliyopanga kuitekeleza hapo baadae

mwezi wa pili mwaka huu kuna tatizo lilitokea kwenye chakula,TV,au simu kati ya hivyo ushukuru uliepushwa na tatzo kubwa
 
aea190470e20a6680caa818f813a3c69.jpg


Kuna kitu nimejifunza kwenye vitabu mbali mbali sasa nataka nihakikishe .... Kila nilichojitabilia kimetokea....gusa hiyo nyota hapo juu kwa mkono wa kulia kisha comment nitabilie....kisha nitakutabilia mambo 5....tu...kisha uthibitishe je nilichotabiri ni kweli ama uongo....usisahau kushika hiyo nyota...kwa mkono wa kulia

Sent using Jamii Forums mobile app


Nimeigusa tayari.....nasubiri majibu yako.
 
eddy mhando nimegusa tayari, naomba unitabirie mimi ni nani na ninafanya nini hivi sasa, kisha nitabirie napenda chama gani cha siasa hapa nchini na hapa JF nampenda mwanamke gani. Mwisho utajiri wangu niliupataje?
 
Back
Top Bottom