chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Labda kaona nyanya hailipi mkuuAhhh ahhhhh bwana mtabili UMEACHA KULIMA WA NYANYA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kaona nyanya hailipi mkuuAhhh ahhhhh bwana mtabili UMEACHA KULIMA WA NYANYA?
Kwa hili jina uliloamua kutumia inaonyesha una nyota kali sana mpaka macho yangu yanashindwa kuitazama.Nitabirie
Hii ni namna mpya ya kutafuta comments kwenye uzi.
Kama ilivyo kwenye whatsapp na facebook kwamba ukigusa picha hiyo inabadilika rangi[emoji23][emoji23]
Mara ukikoment picha inakua hivi na vile[emoji23][emoji23][emoji23]
Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
Anaishia kulike tu, hana lolote mtoa mada, nahisi anatafuta tu comments.
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa kaka mbona tena kama yananitishaView attachment 581168YASOME HAYA KWA TAHADHARI KUBWA LAKINI KWA KUNIA! KISHA NIPE MREJESHO BAADA YA SAA 48.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mabadiliko ya kiuchumi unataka kufany,kuepuka hasara omba ushauri kwa ndugu.
![]()
Kuna kitu nimejifunza kwenye vitabu mbali mbali sasa nataka nihakikishe .... Kila nilichojitabilia kimetokea....gusa hiyo nyota hapo juu kwa mkono wa kulia kisha comment nitabilie....kisha nitakutabilia mambo 5....tu...kisha uthibitishe je nilichotabiri ni kweli ama uongo....usisahau kushika hiyo nyota...kwa mkono wa kulia
Sent using Jamii Forums mobile app