mtanzalendo
Member
- Aug 29, 2014
- 74
- 121
Acha kuaribu dili zetuI think unaweza kuvipata Google for free.
Mimi nimeelewa anachotaka, lakini hawezi kulipa kwa kuwa Ni kazi ngumu kuandika au kuscan.Sasa grade 1 na 2 nao Wana notes?
Daah kwwli elimu imeingiliwa
Chekechea moaka darasa la pili yanaitwa elimu ya awali
Hai wanafunzi wanapewa exercises na activities za ku develop ubongo wao sii notes
.ukiona mwalimu anawapa hai watoto notes basi sio mwalimu huyo
Mwalimu was hayo madarasa anatakiwa aww mbunifu Sana Katika kuandaa maswali zaidi yatakayowasaidia kudeveloo skills mbalimbali kama numeracy, writing, healthcare nk
Kuchora na kusoma na kuhesabu na kujua basics za afya sio kuandika notes
Zikipatikana Complete unalipa ngapi boss kwa somo?Habari wakuu,
Naomba mwalimu au mtu yoyote mwenye notes za Shule za Msingi English medium anicheki PM tufanye biashara.
Nahitaji notes za grade 1 and 2.
Masomo ni
ASP
kiswahili
Writting
Reading
Health care and Environment
Kusoma
Numeracy
Nicheki PM
Au atume email kwenye mzalendo255@gmail.com
Nimeshazioata mkuu, nimebakiza na numeracy.Zikipatikana Complete unalipa ngapi boss kwa somo?