Njoo Samaki Samaki

wacheni uchwara basi kina mwafulani wanajipodoa wawahi offer samaki samaki
 
Nilijua hiz tabia ni za Le Mutuz tu, kumbe ni wabeba boks wote wanapenda kujisifia kwa mambo ya kipuuz puuz!!! Kwel uanaume ni zaidi ya kuwa na ndevu!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Leo utakuwa wapi Mkuu tuchafue meza
 

Haya nawe nipuuze basi mpenzi
 
Oooh haya basi ushakuja Dar
Haya baby weka namba ya simu basi kule PM,nakuijia nakupeleka Kempisky ukachanue kama maua halAfu nakuvalisha engagement ring darling S.W.A.K(SEE YOU WITH A KISS).
 
aah wapi,hebu mtaje kibosile mmoja wa hapo somanda kwa nyakati zile ndo nitajua kweli

Kibosile wa sehemu ipi? Hospitali au kanisa?

Padri Gappa unamjua wewe? Father Kushoka? Rev. Kizito je?

Au nikutajie watu wa pale mahakama ya mwanzo?
 
Kibosile wa sehemu ipi? Hospitali au kanisa?

Padri Gappa unamjua wewe? Father Kushoka? Rev. Kizito je?

Au nikutajie watu wa pale mahakama ya mwanzo?
nilikuwa mteja pekee wa library ya padri Gapa,alikuwa akinikuta peke yangu na muhudumu,anashangaa kweli katoto kadogo kanasoma enclopedia ,time ,newsweek magazine,

ha ha ha,we kweli wasomanda na yawezekana nakufahamu
 
nilikuwa mteja pekee wa library ya padri Gapa,alikuwa akinikuta peke yangu na muhudumu,anashangaa kweli katoto kadogo kanasoma enclopedia ,time ,newsweek magazine,

ha ha ha,we kweli wasomanda na yawezekana nakufahamu

Ulidhani natania eeh...?

Uliwahi kushiriki kwenye ile kampeni yake ya uapandaji miti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…